Vifo ajali ya Coaster, lori Morogoro yafikia 15

Morogoro. Mtu mmoja amefariki dunia na idadi kuongezeka kufikia 15 kutokana na ajali ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugongana na lori eneo la Mikese, Barabara ya Morogoro – Dar es Salaam. Hayo yamebainishwa na Mganga mkuu Mfawidhi Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro, Daniel Ngungu leo Jumatano Novemba 18, 2024 wakati…

Read More

TANZANIA NA SOMALIA KUFANYA MAZUNGUMZO

Tanzania na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. Ujumbe wa Tanzania tayari umeanza kuwasili nchini humo kushiriki katika vikao vya ngazi ya Wataalamu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano wa…

Read More

Kumekucha! KenGold yatimua watano kwa mpigo

Dirisha dogo la usajili tayari limekwisha kufunguliwa tangu Desemba 15, klabu mbalimbali zimeanza kufanya maboresho ya timu zao ili kuongeza nguvu na kufanya vizuri nmzunguko wa pili wa Ligi. Katika kufanya maboresho wapo watakaopunguzwa na wengine kuongozwa. Ikiwa inauelekea mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara leo dhidi ya Simba utakaochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex…

Read More

Benki ya Akiba imezindua kampeni ya Kidijitali ijulikanayo kama “Twende Kidijitali ili kutoa suluhisho za kifedha. – MWANAHARAKATI MZALENDO

Taarifa iliyotolewa leo Desemba 18,2024 na Kitengo cha Masoko na Mawasiliano na kusema kuwa Kampeni hiyo imezinduliwa Desemba 12, 2024 jijini Dar es salaam yake mpya ya Twende Kidijitali, inalenga kuboresha uzoefu wa wateja kupitia suluhisho za kifedha za kisasa, za haraka, na za kuaminika.Kampeni hiyo inahamasisha matumizi ya huduma za kidijitali kama vile ACB…

Read More

TANZANIA NA SOMALI KUFANYA MAZUNGUMZO

 Kikao cha ngazi ya Wataalamu kikiendelea TANZANIA na Shirikisho la Jamhuri ya Somalia zinatarajia kufanya mazungumzo yanayolenga kuibua maeneo mapya ya ushirikiano na kuongeza uhusiano wa kidiplomasia na uchumi yatakayofanyika jijini Mogadishu kuanzia tarehe 17 -19 Disemba 2024. Ujumbe wa Tanzania tayari umeanza kuwasili nchini humo kushiriki katika vikao vya ngazi ya Wataalamu ikiwa ni…

Read More

Jishindie Pesa Nyingi Unapocheza Pirates Power

Michezo ya kubeti siku za hivi karibun umekuwa ni kitega uchumi, kwakuwa watu wengi wanatumia njia zote za halali kusaka mtonyo bila kuvunja sharia. Kuna kasino ya mtandaoni yenye michezo mingi na sloti kibao ikiwemo Pirates Power ushindi wake ni rahisi kinouma. Watengenezaji wa michezo ya kasino ya mtandaoni Expanse Studio ndio wamehusika kuuleta mchezo…

Read More