
Bashungwa aipa Nida siku 60 kugawa vitambulisho milioni 1.2
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) kuhakikisha vitambulisho milioni 1.2 ambavyo tayari vimeshatengenezwa vinasambazwa na kuwafikia wananchi. Waziri Bashungwa amesema hayo leo Desemba 17, 2024 jijini Dar es Salaam katika ziara ya kikazi ya kutembelea na kujionea utendaji wa…