
Kifo cha kijana aliyepigwa fimbo chaacha somo Ulanga
Ulanga. Zikiwa zimepita siku nne tangu mfugaji wa jamii ya kisukuma, Jisandu Mihayo (24) kufariki dunia kwa kinachodaiwa kupigwa fimbo kichwani, mjomba wa marehemu, Donald Paul maarufu, Trump amesema kifo cha kijana wao ni fundisho kwa jamii hiyo ambayo imekuwa ikifanya mchezo swa kuchapana fimbo. Taarifa kutoka Jeshi la Polisi zinadai kuwa Mihayo alifariki dunia…