Ufugaji funza ulivyoboresha maisha ya kaya duni

Dar es Salaam. Waswahili wanasema ukitupacho wewe kwa mwingine dhahabu na hii imedhihirika kwa wanachama tisa wa mradi wa uzalishaji funza wanaotumia mabaki ya chakula na maganda ya matunda kama ndizi na viazi kujiingizia kipato. Wanachana hawo ambao ni wanufaika wa Mpango wa Maendeleo wa Kaya Maskini (Tasaf) walianza mradi wao mwaka 2021 baada ya…

Read More

ATAKAYEBADILISHA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI NA KULIPA POSHO ATACHUKULIWA HATUA’ DKT. GRACE

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Afya) Dkt. Grace Magembe amesema Serikali itachukua hatua dhidi ya viongozi wa Halmashauri watakaobainika kulipa posho za watumishi kwa kutumia fedha ambazo zimetengwa na Serikali kwa ajili ya kununua bidhaa za afya ili kuboresha utoaji huduma za afya msingi nchini. Dkt. Magembe amesema hayo katika…

Read More

Wanahabari wamkalia kooni mtoto wa Mbowe

Dar es Salaam. Wanahabari 10 waliokuwa wakifanya kazi katika Gazeti la Tanzania Daima lililokuwa linamilikiwa na Kampuni ya Fee Media Ltd, wameanza mchakato wa kumfunga gerezani mkurugenzi wa gazeti hilo, Dudley Mbowe kwa kukiuka makubaliano ya malipo ya madai ya stahiki zao. Wanahabari hao, Maregesi Paul na wenzake tisa ambao walikuwa waandishi wa habari na…

Read More

DR Congo yaishitaki Apple kuhusu unyonyaji haramu wa madini – DW – 17.12.2024

Madai ya serikali ya Kongo ni kuwa kampuni hiyo ya kiteknolojia inatumia madini yanayotokana na migogoro nchini mwake katika uzalishaji wa bidhaa zake.  Mawakili wa kimataifa wanaoiwakilisha Kongo, wameliambia shirika la habari la Reuters kwamba kampuni ya Apple hutumia madini yaliyoibwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kusafirishwa kimagendo kupitia minyororo na ugavi wa…

Read More

Changamoto ya soko yawasukuma wakulima kuanzisha kiwanda

Rombo. Wakulima wa ndizi zaidi ya 30 kutoka Kata ya Maharo, Wilaya ya Rombo, Mkoani Kilimanjaro, wameungana na kuanzisha kiwanda cha kuchakata ndizi ili kukabiliana na changamoto ya kukosekana kwa soko la uhakika la bidhaa hiyo. Wakulima hao wamesema kukosekana kwa soko la uhakika kumewalazimu kuuza ndizi kwa bei ndogo, ambapo mkungu mmoja huuzwa kwa…

Read More

Airtel Tanzania yazindua promosheni ya Airtel Santa Mizawadi

Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano kutoka Airtel, Jackson Mmbando na Meneja Huduma kwa Wateja kutoka Airtel, Celine Njuju wakionesha moja ya zawadi ambazo zitatolewa katika msimu huu wa sikukuu. Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano kutoka Airtel, Jackson Mmbando akizungumza jijini Dar Es Salaam leo Desemba 17, 2024, ikiwa ni katika kusheherekea sikukuu ya Christimas ambapo…

Read More

Singasinga wakabidhi msaada Makao ya Watoto New Life

JAMII ya Singasinga Mkoa wa Dar es Salaam, leo Desemba 17,2024 imekabidhi sadaka ya bidhaa mbalimbali katika Makao ya Kulea Watoto ya New Life, Tegeta, wilayani, Kinondoni , mkoani Dar es Salaam na kuahidi kuendelea kushirikiana na jamii katika malezi ya watoto na kusaidia watu wenye mahitaji maalumu. Akikabidhi sadaka hiyo, Mwakilishi wa Jumuiya hiyo…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE AZIDI KUSISITIZA UZINGATIWAJI WA MAADILI KWA WATUMISHI WA UMMA

WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akizungumza leo Disemba 17,2024 jijini Dodoma  wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi wa Umma kilichoanza leo kwa siku tatu. SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti…

Read More