RUWASA YAFANIKISHA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA VIJIJI 10,000 KATI YA 12,000 TANGU ILIPOANZISHWA MWAKA 2019

Na Mwandishi Wetu,Songea ZAIDI ya vijiji 10,000 sawa na asilimia 79.8 kati ya vijiji 12,333 vimepata maji safi na salama huku huduma ya maji ikiongezeka kutoka asilimia 50 mwaka 2019 hadi kufikia asilimia 79.9 mwaka 2024 tangu Serikali ilipoanzisha wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa)mwaka 2019. Hayo yamesemwa jana na Naibu Waziri wa…

Read More

Namungo matumaini yamerejea | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Namungo raia wa DR Congo, Fabrice Ngoy amesema ushindi wa mabao 3-2, dhidi ya KenGold, kwa kiasi kikubwa umewapa motisha ya kuendelea kupambana zaidi baada ya kuanza msimu vibaya. Kauli ya nyota huyo alifunga bao moja katika ushindi huo, imekuja baada ya Namungo kucheza mechi 14 za ligi msimu huu ikishinda nne, sare…

Read More

UN yatangaza mpango wa kushughulikia mkwamo wa kisiasa, uchaguzi ambao umechelewa nchini Libya – Masuala ya Ulimwenguni

Stephanie Koury, Naibu Mwakilishi Maalum wa Libya na Kaimu Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo, USITUMIE, walitoa taarifa kwa mabalozi kwa mpango huo siku moja baada ya kuiwasilisha kwa idadi ya watu. Mchakato unaowezeshwa na Umoja wa Mataifa unahusisha kuanzisha kamati ya ushauri ya kukagua masuala ambayo hayajakamilika katika sheria za uchaguzi…

Read More

Airtel kuwazawadia wateja, mawakala msimu wa sikukuu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Simu ya Airtel Tanzania inatarajia kuwazawadia wateja na mawakala wake katika msimu huu wa sikukuu. Zawadi hizo zitatolewa kupitia promosheni maalumu iliyozinduliwa leo Desemba 17,2024 ijulikanayo kama Airtel Santa Mizawadi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo makao makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam, Mkuu wa…

Read More

Stone Town yaivuruga Vikapu | Mwanaspoti

Stone Town ya Zanzibar imeifunga Vikapu ya Kenya kwa pointi 52-16, katika fainali ya wachezaji wa umri wa miaka 18, iliyomalizika katika viwanja vya kituo cha michezo cha JMK Youth Park. Mashindano hayo yanayojulikana kama JMK Basketball tournament, yalishirikisha   timu 50 kutoka Kenya, Tanzania Bara na Zanzibar. Katika mchezo huo, mchezaji Suleiman Khamisi wa Stone…

Read More