Fadlu Davids aihofia KenGold ataja ugumu ulipo

Kocha wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa timu yake inaingia kwa tahadhari kubwa katika mechi dhidi ya Kengold kesho katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge licha ya wapinzani wao kushika mkia kwenye msimamo wa ligi. Davids amesema kuwa ugumu wa mchezo huo wa kesho unatokana na ulazima wa Kengold kuondoka na pointi tatu ili ijinasue…

Read More

DB Lioness yaivua ubingwa Vijana Queens

DB Lioness imetwaa ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL),  baada ya kuifunga Vijana Queens katika michezo 3-2. Vijana iliyokuwa bingwa mtetezi wa ligi hiyo, ilipoteza pia kombe la ligi ya taifa ya kikapu NBL mwaka huu. Fainali hiyo  ilishuhudiwa na watazamaji wengi kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga. Katika mchezo wa…

Read More

Sativa amlipia Lissu fomu ya kugombea Uenyekiti Chadema

  TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema kuwa Fomu ya kugombea uenyekiti wa Chama hicho imelipwa na Sativa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Hizi fomu zinatakiwa zilipiwe hiyo ada yake shilingi 1,500,000 nilitaka nilipe mimi mwenyewe Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi uchaguzi huu uwe mwanzo…

Read More

GE Vernova, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na TANESCO Waandaa Tukio la STEM Tanzania Kuwahamasisha Wavumbuzi wa Baadaye

Dar es Salaam, Tanzania – Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam, walishiriki warsha ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, na Hisabati ya kukuza taaluma na kufanya ziara ya kiwanda cha umeme iliyoratibiwa na GE Vernova kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.  Tukio hili lilifanyika katika mazingira…

Read More

Siasa Mpya za Jiografia Mbaya zaidi kwa Ulimwenguni Kusini – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni by Jomo Kwame Sundaram (kuala lumpur, Malaysia) Jumanne, Desemba 17, 2024 Inter Press Service KUALA LUMPUR, Malaysia, Desemba 17 (IPS) – Siasa mpya ya jiografia baada ya Vita Baridi ya kwanza inadhoofisha amani, uendelevu, na maendeleo ya binadamu. Vipaumbele vya Hegemonic vinaendelea kutishia ustawi wa wanadamu na matarajio ya maendeleo. Jomo Kwame SundaramMwisho wa…

Read More

TRA PWANI YAJIZATITI KUWAPONGEZA KWA ZAWADI WALIPA KODI WA

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Pwani imeamua kuwapa motisha ya zawadi mbali mbali walipakodi bora baada ya kutambua juhudi na mchango wao mkubwa katika suala zima la kutii maagizo ya serikali katika ulipaji wa kodi. Zawadi hizo zimetolewa na kamishina uchunguzi upande wa kodi Hashimu Ngodi aliyemwakilisha Kamishina Mkuu wa mamlaka…

Read More