Hasheem Thabeet, aonyesha ukubwa wake Kenya

DAR City imemaliza nafasi ya pili kwenye michuano ya Ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati, lakini gumzo kubwa lilikuwa ni Hasheem Thabeet kutokana na mavitu yake. Kwenye mashindano hayo, Hasheem alionyesha kiwango kizuri ikiwamo kupokonya mipira kwa kiwango kikubwa. Pia nyota huyo wa zamani wa Oklahoma City Thunder ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya…

Read More

TRA yawataka wafanyabiashara kuendelea kutatua changamoto bila kufunga maduka

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa wito kwa wafanyabiashara kuendelea kushirikiana na mamlaka hiyo na kutatua changamoto zinazowakabili bila migomo wala kufunga maduka ili kukuza sekta ya biashari. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi kutoka mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) makao makuu, Richard Kayombo wakati akizungumza na wafanyabiashara mbalimbali katika…

Read More

Trump aahidi tena kumaliza “mauaji” ya vita vya Ukraine – DW – 17.12.2024

Akizungumza kwa mara ya kwanza na waandishi habari tangu alipochaguliwa kwa mara nyingine kuwa rais wa Marekani, Trump amesema ni lazima mauaji yanayotakana na vita hivyo yakomeshwe, akiahidi kwa mara nyingine kuumaliza mzozo huo atakapoingia madarakani. “Tutazungumza na Rais Putin, na tutazungumza na wawakilishi, Zelensky na wawakilihsi wa Ukraine,” amesema Trump kwenye mkutano huo ba…

Read More

Bwana harusi aliyepotea adaiwa kupatikana Kigamboni

Moshi. Ndugu wa Vincent Masawe, bwana harusi anayedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha wamethibitisha kupatikana kwa ndugu yao. Kwa mujibu wa ndugu hao, Vincent amedai yupo katika kituo cha polisi kilichopo Kigamboni, mkoani Dar es Salaam. Akizungumza na Mwananchi, Vick Massawe amethibitisha kupatikana kwa ndugu yao jana asubuhi Desemba 16, 2024. Taarifa za kupotea kwa…

Read More

Tendwa amefariki dunia akipatiwa matibabu Muhimbili

Dar es Salaam. William Tendwa mtoto wa aliyekuwa Jaji na Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amesema baba yake amefariki saa nane usiku wa kuamkia leo, akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa MuhimbilI (MNH). Mtoto huyo wa pili wa marehemu, akizungumza na Mwananchi leo Desemba 17,2024 nyumbani kwao Kibamba jijini hapa,  amesema kwa sasa…

Read More

Waziri Jerry Silaa Aagiza Bodi ya TTCL Ilete Mabadiliko, Shirika Lijiendeshe Kibiashara

WAZIRI wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa ameiagiza Bodi ya Shirika La Mawasiliano Tanzania (TTCL)  kuhakikisha linasimamia vyema shirika  hilo na kuhakikisha liendeshwa kibiashara. Maagizo hayo ameyatoa leo Desemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam, wakati akizindua Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Mhe. Silaa amemtaka Mwenyekiti wa Bodi hiyo David …

Read More

WANAFUNZI GLISTEN WAPANGIWA SHULE ZA VIPAJI

Na Mwandishi wetu, Simanjiro WANAFUNZI wanne wa shule ya awali na msingi ya mchepuo wa kiingereza Glisten English Medium primary school iliyopo kwenye Kata ya Endiamtu Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, hivyo kuwa shule iliyoongoza kiwilaya. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa akitangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa…

Read More