17 Coastal waingia ukurasa mpya

ZIKIWA zimebaki siku tano kabla ya Klabu ya Coastal Union kufanya uchaguzi wa viongozi, Desemba 21 mwaka huu, leo Jumanne kampeni zinatarajiwa kuanza kushika kasi kwa wagombea kujinadi kwa wanachama kuomba kura. Coastal inatarajiwa kufanya uchaguzi huo baada ya wagombea 17 kupitishwa na Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo huku nafasi ya mwenyekiti ikionekana kutokuwa…

Read More

Mechi za kibabe Ligi Kuu Bara

MSHIKEMSHIKE wa Ligi Kuu Bara unaendelea leo Jumanne kwa kuchezwa mechi mbili zitakazozikutanisha timu ngumu katika kuwania pointi za kibabe. Saa 10:00 jioni, Tabora United iliyopo nafasi ya 5 na pointi 24, itaikaribisha Coastal Union iliyopo nafasi ya 9 baada ya kukusanya pointi 16, mechi hii itapigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo mkoani…

Read More

Munthary akoleza vita na Camara, Diarra

KIPA wa Mashujaa, Patrick Munthary amekoleza vita ya kuwania Tuzo ya Kipa Bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kufikisha ‘clean sheet’ nane, hivyo kutangaza vita na washindani wake, Moussa Camara wa Simba na Djigui Diarra kutoka Yanga. Munthary amefikisha ‘clean sheet’ hizo nane katika michezo 12 kati ya 14 ya timu hiyo…

Read More

Yanga kuvuka bahari, yakwama dili la Lawi

YANGA wanapambana kuhakikisha wanatimiza matakwa ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Sead Ramovic ambaye ameagiza kufanyika maboresho kadhaa katika kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo akitaja maeneo yanayotakiwa kuongezwa nguvu. Kati ya maeneo hayo ni beki ya kushoto na kulia ambako tayari amesajiliwa Israel Mwenda kwa mkopo akitokea Singida Black Stars. Pia anahitajika beki…

Read More

Kibu Denis afichua siri ya Ubaya Ubwela

NYOTA wa Simba, Kibu Denis ‘Mkandaji’ ambaye aliwafanya wachezaji na maofisa wa CS Sfaxien kurusha ngumi kwa mwamuzi Andoftra Revolla Rakotojuana, amefichua mazito yaliyowabeba katika mchezo wao wa Kundi A la Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kibu ndiye aliyefunga mabao yote mawili dakika ya saba na 90+8…

Read More

Jinsi Uchumi wa Kiuchumi wa Kiafrika unavyoweza Kuimarisha Mifumo ya Kilimo katika Muktadha wa Mabadiliko ya Tabianchi – Masuala ya Ulimwenguni.

Mwanasayansi anachambua mche kwenye maabara. Maoni na Ousmane Badiane (Dakar, senegal) Jumatatu, Desemba 16, 2024 Inter Press Service DAKAR, Senegal, Desemba 16 (IPS) – Kutoka kuongezeka kwa wadudu na magonjwa hadi kupungua kwa mavuno ya mazao na hali mbaya ya hewa, athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa katika kilimo barani Afrika haziwezi kupitiwa…

Read More

Lookman  mchezaji bora Afrika 2024

Mshambuliaji wa Atalanta na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookmann leo, Desemba 16, 2024 ameibuka mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika 2024 ya shirikisho la mpira wa miguu Afrika (Caf) katika hafla iliyofanyika Marrakech, Morocco. Lookman ambaye amekuwa na nyakati bora akiwa na klabu yake ya Atalanta inayoshiriki Ligi Kuu ya Italia ‘Serie…

Read More