Lissu adai kuwasilisha majina ya waliopenyezewa fedha za uchaguzi Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema ameshapeleka ushahidi kuhusu madai ya rushwa ndani ya chama hicho kwenye vikao halali, hivyo anatarajia utekelezaji. Lissu aliyetangaza kugombea uenyekiti wa chama hicho Desemba 12, 2024 jijini Dar es Salaam, amesema mambo aliyoyataja kama changamoto atakazozishughulikia ndio ajenda zake za uchaguzi. Kauli ya Lissu imekuja…

Read More

MFUMO WA KODI ULIOPO NCHINI UNARUHUSU KUWEPO UTITIRI WA KODI NYINGI ZINAZOSIMAMIWA NA MAMLAKA TOFAUTI

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othman Masoud Othman, amesema kwamba mfumo wa Kodi uliopo nchini unaruhusu kuwepo utitiri wa kodi nyingi zinazosimamiwa na mamlaka tofauti jambo linaloweza kusababisha kuanguka biashara kutoka kwenye sekta mbali mbali nchini. Mhe. Othman ameyasema hayo huko ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar alipokutana na Tume ya Rais ya…

Read More

Kipa Namungo afikiria kutimka, uongozi kiroho safi

Kipa wa Namungo raia wa DR Congo, Erick Molong amesema hafurahishwi na maisha anayoishi kikosini humo akieleza kuwa msimamo wake ni kuachana na timu hiyo ili kutafuta changamoto mpya sehemu nyingine. Hatua hiyo imekuja kufuatia nyota huyo kutokuwa na uhakika wa namba kwani tangu ametua kikosini hapo mapema msimu huu, amecheza mechi tatu dhidi ya…

Read More

Mnyika agusa madai ya Lissu, amtaka ayafikishe rasmi

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amekanusha madai ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu yakiwamo ya ukosefu wa uadilifu na mfumo mbovu wa fedha, akitaka wanachama wenye malalamiko kama hayo kuyawasilisha kupitia njia rasmi za chama. Akitangaza nia yake ya kuwania uenyekiti wa Chadema jijini Dar es Salaam Desemba 12,…

Read More

MKAZINGATIE VIPAUMBELE VYA TAIFA KATIKA MIPANGO NA BAJETI ZENU’ ENG. MATIVILA

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila amewataka Wataalamu wa Mipango na Bajeti kutoka kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia vipaumbele vya Taifa katika uandaaji wa mipango na bajeti zao. Mhandisi Mativila ameyasema hayo wakati akifungua kikao kazi cha maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa…

Read More

Watoto wawili wadaiwa kujinyonga Tabora, sababuu zatajwa

Tabora. Watoto wawili mkoani Tabora wanadaiwa kufa kwa kujinyonga katika matukio tofauti, akiwemo mwanafunzi wa darasa pili shule ya msingi Igunga anayedaiwa kukutwa amejinyonga juu ya mti wa mwembe karibu na nyumba wanayoishi. Akielezea matukio hayo leo Jumatatu, Desemba 16, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema jana, Desemba 15, saa 12…

Read More

Serikali mjini Njombe yawataka wanaofanya biashara maeneo yasiyo rasmi kutoka kwa hiari

Serikali mjini Njombe imewataka wafanyabiashara wanaofanya biashara zao kwenye maeneo yasiyo rasmi kuondoa biashara zao kwa hiari kwa kuwa serikali imetenga maeneo rafiki kwa wafanyabiashara na wajasiriamali kwa ajili ya shughuli hizo. Wito huo umetolewa na mtendaji wa kata ya Njombe mjini Enocy Lupimo kwa niaba ya mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Njombe Kuruthum…

Read More