DKT. POSSI AFUNGUA MAFUNZO KWA MAWAKILI WA SERIKALI

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akifungua mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kuhusu Sheria na Taratibu za Uendeshaji wa Mashauri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yaliyofanyika mkoani Morogoro. Mkurugenzi wa Idara ya Madai, ndugu Mark Mulwambo akitoa salamu za Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa niaba ya Naibu Wakili Mkuu wa Serikali,…

Read More

Mashine sita zinatua Tabora United

KATIKA kuimarisha zaidi kikosi chake, kocha mkuu wa Tabora United, Anicet Kiazmak ameagiza mashine sita kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ili kuongeza nguvu katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Kikosi hicho ambacho kilikuwa chini ya Mkenya Francis Kimanzi, hakikuanza msimu vizuri lakini gari limekuja kuchanganya baada ya ujio wa Anicet huku…

Read More

INEC YASISITIZA UWAZI UBORESHAJI WA DAFTARI

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati wa  mafunzo kwa watendaji wa ubioreshaji ngazi ya Mkoa kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoa wa Mbeya uliofanyika leo Desemba 16, 2024. Mwenyekitiwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kushoto)akizungumza jambo wakati…

Read More

Sababu waliohitimu la saba wote kujiunga sekondari

Dar es Salaam. Serikali imetangaza wanafunzi wote 974,332 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza baadaye mwakani, huku ikibainisha kwamba wataanza masomo bila kusubiri machaguo kama ilivyokuwa ikifanyika miaka iliyopita. Imesema kuwa kati ya wanafunzi hao wasichana ni 525,225 na wavulana ni 449,107 ambao wamechaguliwa kujiunga na shule za umma. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…

Read More

MAAFISA TRA WAWATEMBELEA WALIPA KODI WA MTWARA

 Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kodi Mtwara, Maimuna Khatib akifurahia jambo na Hamza Hakika Katani mfanyabiashara wa Pembejeo na Pikipiki Wilayani Masasi mkoa wa Mtwara, alipokua katika ziara ya kuwatembelea wafanyabiashara wilayani hapo kwa lengo la kuwashukuru kwa kulipokodi kwa hiyari na kusikiliza changamoto leo Dèsemba 16.2024 MENEJA wa Mamlaka ya…

Read More

KenGold yaanza na wanne dirisha dogo

WAKATI KenGold ikianza kusuka kikosi chake kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo, timu hiyo inakabiliwa na ratiba ngumu katika michezo mitano kupambania nafasi ya kubaki Ligi Kuu. Tayari dirisha dogo limefunguliwa Desemba 15 mwaka huu, ambapo vijana hao wa wilayani Chunya, wamevuta sura mpya nne kwa ajili ya kuongeza nguvu na kupambana kukwepa janga…

Read More

HARUSI YA KIHISTORIA YAFUNGWA KRETA YA NGORONGORO

Na Kassim Nyaki, Ngorongoro Crater. Tarehe 15 Desemba 2024 Kreta ya Ngorongoro imepambwa na tukio adhimu na la kihistoria la maharusi wa Kitanzania kufunga ndoa ndani ya Hifadhi huku wakipunga upepo mwanana kwenye mazingira asilia yaliyozungukwa na wanyama mbalimbali wakiwemo Big 5. Bw. Kelvin Mwakaleke na mkeweJackline Nyalu wamefunga Ndoa ndani ya Kreta ya Ngorongoro…

Read More