
TRA YAWASHAURI WALIPAKODI KUTOSHEHEREKEA SIKUKUU NA VIPORO
Kaimu Naibu kamishna Idara ya Walipa Kodi wa Kati kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Godwin Barongo akimkabidhi zawadi Mwakilishi wa Kampuni ya CRJE Estate Ltd, Johari Rotana Hotel, Doris Zeng leo Novemba 16, 2024 wakati walipowatembelea ofisini kwao kwaajili ya kuwashukuru kama walipaji kodi. KAIMU Naibu kamishna Idara ya Walipa Kodi wa Kati kutoka Mamlaka…