
Haya hapa majina, shule walizochaguliwa kujiunga wanafunzi wa kidato cha kwanza 2025
Majina hayo yanajumuisha ya wanafunzi waliochaguliwa kwenda kusoma shule za sekondari za bweni, vipaji maalum na kutwa za Serikali.
Majina hayo yanajumuisha ya wanafunzi waliochaguliwa kwenda kusoma shule za sekondari za bweni, vipaji maalum na kutwa za Serikali.
Bayern Munich watamaliza wakiwa kileleni isipokuwa wakitizama nyuma yao wanawaona mabingwa watetezi Bayer Leverkusen. Bayern wanaongoza na pointi 33, nne mbele ya nambari mbili Levekusen na kwa kutegemea jinsi matokeo yatakavyokuwa wikiendi nijayo, huenda pengo hilo likapungua hadi pointi moja. Matokeo ya mwishoni mwa wiki yaliwafaidi Leverkusen. Vinara Bayern walipoteza pointi tatu ikiwa ni kichapo…
Hayo yakijiri rais wa Urusi Vladimir Putin amesema wanajeshi wake wako na uwezo mkubwa katika uwanja wa mapambano dhidi ya Ukraine. Vikwazo vipya vya kiuchumi, vinalenga kuizuia Urusi kuepuka vile ambavyo tayari vipo vilivyowekwa na umoja huo, na pia vinalenga kudhoofisha uwezo wa jeshi na viwanda vyake vya ulinzi. Meli 52 ziliongezwa kwenye orodha ya…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa pamoja na jitihada za kuwainua wabunifu wawekezaji nchini, bado kuna umuhimu mkubwa wa kuwawezesha wabunifu wetu kukua zaidi ndani na nje ya mipaka ya nchi. Dkt. Biteko amesema hayo leo Desemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya…
Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amesema Serikali inaendelea kushirikiana na sekta binafsi na wawekezaji kwa kuwawekea mazingira wezeshi ili kutengeneza ajira nyingi kwa Watanzania. Amesema takwimu za wahitimu wa vyuo vikuu kwa mwaka 2022 kwa shahada ya kwanza wastani ni vijana 51,000 na hadi kufikia mwaka 2024 inatarajiwa wakafikia…
Na Seif Mangwangi, Arusha VIGOGO wakuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini wamekutana Jijini Arusha lengo mojawapo likiwa ni kuweka mikakati ya kukabiliana na wanasiasa watakaotoa rushwa katika uchaguzi Mkuu mwakani 2025. Akifungua mkutano huo mkuu wa mwaka wa Takukuru, Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango amesema rushwa ni adui mkubwa ambaye…
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Benk ambaye pia ni mwanajumuiya wa Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM) (Alumni) Abdulmajid Nsekela amempongeza Mkuu wa chuo hicho Profesa Josephat Lotto na timu yake kutokana na kubuni mikakati mbalimbali kwa ajili ya kuboresha elimu nchini. Nsekela ameyazungumza hayo wakati wa hafla ya chakula cha…
SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imeanzisha mpango wa kuunda timu maalum inayokusudia kufanya uchambuzi na uchunguzi wa kina kuhusu migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji nchi nzima. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea) Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuanzisha…
TAASISI ya Seris Foundation kwa kushirikiana na Smarcon Tanzania Limited na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) wameendesha warsha ya programu mpya za Kihandisi zilizoingia sokoni hivi karibuni kwa ajili ya kuongeza fursa za ajira na kujiajiri kwa Wahitimu wa fani ya Uhandisi. Akizungumza katika kufunga warsha hiyo ya siku tatu Desemba 12-14, 2024, Injinia…
MBUNGE wa zamani wa Bukoba mjini, Wilfred Lwakatare ambaye ni mgombea nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema kuwa endapo Profesa Ibrahimu Lipumba atadhihirisha nia ya kugombea uenyekiti wa chama hicho atajiondoa kuwania nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza na MwanaHALISI Online leo tarehe 16 Desemba 2024,…