Watatu mbaroni tuhuma za mauaji katibu wa CCM Kilolo

Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya aliyekuwa katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo, Christina Nindi (56) aliyeuawa kwa kupigwa risasi. Taaifa za awali zilieleza tukio hilo lilitokea Novemba 12, 2024 katika Kijiji cha Njiapanda ya Tosa, Wilaya ya Kilolo alipokuwa akiishi baada ya kushambuliwa, kufariki dunia…

Read More

Januari 21, 2025 kusuka ama kunyoa Chadema

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeitaja siku ya tarehe 21 Januari 2025 kuwa ndio siku ya Mkutano wake mkuu wa uchaguzi utakaomchagua Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 16 Desemba 2024 , John Mnyika, Katibu Mkuu wa chama hicho…

Read More

Hatima upelelezi kesi ya wizi shehena ya mafuta Desemba 30

Dar es Salaam. Washtakiwa wanane katika kesi ya wizi wa mafuta katika visima kampuni ya kimataifa ya kuhifadhi mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), wataendelea kusubiri hatima ya upelelezi wa kesi yao mpaka Desemba 30, 2024. Washitakiwa hao, aliyekuwa dereva wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Tino Ndekela, mfanyabiashara Fikiri Kidevu, Amani Yamba, Mselem Abdallah, Kika Sanguti,…

Read More

Waziri Ulega waonya wakandarasi wazembe, afanya ukaguzi wa BRT

    Na Mwandishi Wetu. Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameonya vikali wakandarasi wazembe wanaochelewesha miradi ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), akisisitiza kuwa Serikali haitavumilia ucheleweshaji wowote ambao unakwamisha maendeleo na kuhatarisha maisha ya wakazi wa Dar es Salaam. “Nataka ndani ya siku tatu ujenzi uanze usiku. Nitakuja hapa mwenyewe Alhamisi kuangalia…

Read More

Zingatia haya kuepuka ajali barabarani

Mwanza. Huenda ukawa ni miongoni mwa watu wanaotarajia kusafiri mwishoni mwa mwaka kwenda kusherehekea sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya. Jeshi la Polisi limetaja mambo saba ya kufuatwa na madereva, abiria na watumiaji wa barabara ili kuepuka ajali za barabarani katika kipindi hicho. Mambo hayo yametajwa leo Jumatatu, Desemba 16, 2024 na Mkuu wa Dawati…

Read More

RAIS MWINYI:NIMERIDHIKA NA KAZI YA ZPDB

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuridhishwa kwa utoaji na usimamizi wa vipaumbele vyote kwa sekta za umma hasa kwa miradi ya kimkakati. Amesema, usimamizi huo unalenga kuhakikisha wananchi wanapata huduma zinazotolewa na kuhakikisha utoaji huduma bora katika maeneo yote ya vipaumbele zikiwemo Elimu, Miundombinu, Uwezeshaji sekta…

Read More

Waziri Mkenda aitaka HESLB kuongeza uwazi upangaji mikopo

Dar es Salaam. Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda ameitaka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kuongeza uwazi kwenye mchakato wa upangaji mikopo na vigezo, ili kuondoa malalamiko ambayo wakati mwingine yanasababishwa na makosa yanayofanywa na waombaji. Profesa Mkenda amesema malalamiko mengi ya wanaokosa mikopo au udahili katika taasisi za elimu ya juu…

Read More

DKT. NCHEMBA ZIARANI OMAN APONGEZA DIPLOMASIA YA UCHUMI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (mwenye skafu), Balozi wa Tanzania nchini Oman Mheshimiwa Fatma Rajab (wa tano kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa Tanzania baada ya kuhitimisha mazungumzo yao katika Makazi ya Balozi, nchini Oman.(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Oman). Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu…

Read More

Mwili wa Ulomi wakutwa mochwari Mwananyamala

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi, aliyepotea tangu Desemba 11, 2024 amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam. Ulomi aliyekuwa akifanya biashara za fedha za mitandao ya simu maeneo yaa Sinza Kijiweni na Mwenge alipotea tangu 11 Desemba 2024. Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi…

Read More