Kipyenga chalia Chadema, Mnyika awaonya wagombea

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefungua pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu za uchaguzi wa viongozi wa wakuu wa cha hicho ngazi ya Taifa na mabaraza yake. Hatua hiyo inakwenda kuongeza joto la uchaguzi ndani ya Chadema, ambapo tayari makamu mwenyekiti wake-Bara, Tundu Lissu ametangaza nia ya kuwania nafasi ya uenyekiti….

Read More

Mashabiki  waiweka matatani CS Sfaxien

Kitendo cha kikundi cha mashabiki wa CS Sfaxien kupeperusha bendera za Palestina katika mechi yao dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa huenda kikaiponza timu hiyo. Kwa mujibu wa ibara ya 49 ya katiba ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf), hairuhusiwi uonyeshwaji wa jumbe zenye mlengo wa kisiasa katika eneo kunakofanyika tukio…

Read More

Mwili wa Olomi wakutwa mochwari Mwananyamala

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi, aliyepotea tangu Desemba 11, 2024 amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam. Ulomi aliyekuwa akifanya biashara za fedha za mitandao ya simu maeneo yaa Sinza Kijiweni na Mwenge alipotea tangu 11 Desemba 2024. Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi…

Read More

Wanafunzi Tusiime waanza ziara nchini Uturuki

  WANAFUNZI 21 wa shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam wamewasili kwenye mji wa Istambul Uturuki kwaajili ya ziara ya kimasomo na utalii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Wanafunzi hao wakiambatana na baadhi ya walimu wa shule hiyo walisafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates kwenda…

Read More

VIDEO: Siri maisha ya waumini wa Mwamposa

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wakazi wa Kawe wakitumia fursa ya uwepo wa Kanisa la Inuka Uangaze la Nabii na Mtume Boniface Mwamposa, imebainika wapo waumini wanaotoka mikoani wakikabiliwa na adha ya malazi, kukosa faragha na kuhatarisha afya zao. Mwananchi katika uchunguzi wake, imebaini mitaa ya Ukwamani na Mzimuni kuna nyumba zinazolaza waumini hao,…

Read More