CCM Katavi yajibu kauli ya Arfi

Mpanda. Baada ya aliyewahi kuwa mbunge wa Mpanda Mjini mkoani Katavi, Said Arfi kusema Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatumia nguvu kubwa kuua vyama vya upinzani, chama hicho kimepinga kauli hiyo. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Mkoa wa Katavi, Theonas Kinyoto amesema tuhuma hizo si za kweli, bali vyama vya upinzani bado ni vichanga…

Read More

Je, ongezeko la udhibiti wa mipaka unahitimisha ndoto ya EU? – DW – 15.12.2024

Mwezi Juni 2025, kijiji cha Schengen kilichopo kusini magharibi mwa taifa dogo la Umoja wa Ulaya, Luxemburg, kitakuwa mwenyeji wa sherehe kubwa. Ilikuwa huko Schengen mnamo Juni 14, 1985, ambapo mawaziri kutoka Uholanzi, Ubelgiji, Luxemburg, Ufaransa na Ujerumani walisaini makubaliano yaliyoweka msingi wa kuvuka mipaka kati ya nchi zao bila ukaguzi wa vitambulisho. Huu ulikuwa…

Read More

Sababu bei za bidhaa kupaa Desemba

Dar es Salaam. Kukua kwa mahitaji ikilinganishwa na uwepo wa bidhaa husika sokoni, kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la bei katika kipindi cha Desemba kila mwaka. Hali hiyo huchangiwa na idadi ya watu wanaokuwapo nyumbani wakati wote wa Desemba, utamaduni wa watu kununua bidhaa nyingi, ikiwemo nguo na kufanya manunuzi mbalimbali kunatajwa kusisimua biashara. Haya…

Read More

Ulega aahidi kusimamia malipo ya makandarasi

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema katika uongozi wake atasukuma kwa kadri awezavyo kuhakikisha kila mkandarasi anayedai analipwa. Pia ameelekeza ujenzi wa kila barabara hasa katika Jiji la Dar es Salaam uende sambamba na uwekaji wa taa za barabarani. Ulega amesema hayo leo Jumapili Desemba 15, 2024 alipofanya ziara kutembelea ujenzi awamu…

Read More

Magari ya shule yenye ‘tinted’ yapigwa marufuku Mwanza

Mwanza. Ofisa Elimu Mkoa wa Mwanza, Martin Nkwabi ametaja changamoto tano zilizoko kwenye magari ya shule yanayowafuata na kuwarudisha wanafunzi nyumbani, huku akipiga marufuku magari hayo kuwa na vioo visivyoonyesha aliyekaa ndani ‘tinted’. Amesema changamoto nyingine ni madereva kukiuka muda wa kuwafuata na kuwarudisha wanafunzi nyumbani na ukosefu wa wahudumu wa kike, wamiliki wa shule…

Read More

Chuo cha ZOE chatoa mafunzo ya uongozi kwa vijana

Kibaha. Ili kukuza maarifa na maadili kwa jamii itakayolitumikia Taifa kwa nyanja mbalimbali na kuzingatia maadili na utu wema, Chuo cha maandiko ya biblia (ZOE) kilichopo Kibaha mkoani Pwani kimeanza kutoa mafunzo ya uongozi kwa vijana. Akizungumza leo Jumapili, Desemba 15, 2024 kwenye mahafari ya 15 ya chuo hicho, Askofu wa Kanisa la Assemblies of…

Read More

WATANZANIA WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSOMA VITABU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia anayeshughulikia Sayansi na Elimu ya Juu, Prof. Daniel Mushi, ametoa wito kwa Watanzania kujenga utamaduni wa kujisomea vitabu ili kuibua fursa za kimaendeleo na kuacha tabia ya kutumia vitabu kama sehemu salama ya kuhifadhia fedha. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa vitabu viwili vilivyoandikwa na wataalamu…

Read More