Wenye ulemavu wataka pensheni, ajira na mikopo

Dar es Salaam. Kutolewa kwa pensheni za kila mwezi, afya bure kuanzia ngazi ya msingi, ajira, mikopo na elimu jumuishi ni miongoni mwa vitu vilivyotawala katika ukusanyaji wa maoni rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kwa kundi la watu wenye ulemavu. Kutolewa pensheni, kunatajwa kuwa moja ya njia ya kupunguza makali ya maisha…

Read More

CS Sfaxien yarusha ngumi Kwa Mkapa

BAO  la dakika za lala salama lililofungwa na Kibu Denis limegeuka chanzo cha vurugu kubwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, baada ya Simba SC kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia kwenye mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mwamuzi wa mchezo, Andofetra Avombitana kutoka Madagascar, alikumbana…

Read More

Simba Ubaya Ubwela, yaigagadua CS Sfaxien Kwa Mkapa

‘SIMBA ndo zetu… Simba Ubaya Ubwela…Simba ndo zetu…’ Ni baadhi ya nyimbo zilizokuwa zikiimbwa na mashabiki wa Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, wakifurahia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia, huku Kibu Denis akimaliza ukame wa mabao wa siku 84 kwa kukwamisha mabao yote. Ushindi huo umeifanya Simba kufikisha pointi sita…

Read More

Fursa, karaha kwa waumini wa Mwamposa Kawe

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wakazi wa Kawe wakitumia fursa ya uwepo wa Kanisa la Inuka Uangaze la Nabii na Mtume Boniface Mwamposa, imebainika wapo waumini wanaotoka mikoani wakikabiliwa na adha ya malazi, kukosa faragha na kuhatarisha afya zao. Mwananchi katika uchunguzi wake, imebaini mitaa ya Ukwamani na Mzimuni kuna nyumba zinazolaza waumini hao,…

Read More