Gomez kuliamsha Chamazi | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Fountain Gate, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ huenda akauwahi mchezo wa keshokutwa Jumanne kati ya timu hiyo na Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi Dar es Salaam, baada ya kukosekana michezo miwili mfululizo iliyopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha. Nyota huyo mwenye mabao sita ya Ligi Kuu ameng’olewa kilele cha wafungaji na…

Read More

Tusua na wakali wa ubashiri Jumapili ya leo

  Wikendi nyingine ya kuibuka na ushindi wa uhakika ndani ya Meridianbet umefika ambapo mechi kibao zinapigwa leo. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Macho yangu yameanza kuimulika ligi kuu ya Uingereza, yaani EPL ambapo mechi za pesa zinakupatia ushindi Brighton atakuwa mwenyeji wa Crystal Palace ambaye yupo nafasi ya 17 kwenye msimamo wa…

Read More

Dar Kings haishikikii TCA U17

Dar Kings imeendelea kufunika katika Ligi ya TCA kwa vijana wa umri chini ya miaka 17, kwenye viwanja vya UDSM na Dar Gymkhana, baada ya kuifumua Gairo Kings kwa mikimbio 22. Ligi hiyo ya mizunguko 30 inajumuisha timu za vijana kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania na licha ya ushindi huo,  , Dar Kings ilipata upinzani…

Read More

Kocha Azam awatia hasira kina Fei

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Azam FC kutoka kwa Nyuki wa Tabora United, kimemchefua kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi, akisema kimewatibulia malengo, lakini akiwatia hasira wachezaji kwa kuwataka wasahau yaliyopita na kujiweka vyema kwa mchezo utakaopigwa kesho Jumanne dhidi ya Fountain Gate. Kocha huyo raia wa Morocco, alisema matokeo waliyopata mjini Tabora yameiathiri timu…

Read More

Namungo yaiduwaza KenGold | Mwanaspoti

LICHA ya kutangulia kwa mabao mawili ndani ya dakika 10 za pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, timu ya KenGold imejikuta ikiduwazwa na wageni na kupoteza mchezo huo ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa kwa kufungwa maao 3-2. KenGold inayocheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya kupanda msimu huu…

Read More

TRA mkoa wa Iringa yawapongeza walipakodi wake

Mamlaka ya Mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Imeendelea kudumisha mahusiano Mazuri na kuwashukuru wafanyabiashara wake Mkoani hapa kwa kuendelea kutimiza wajibu wao wa kulipa Kodi kwa wakati Shukrani hizo zinetolewa leo baada ya Meneja wa Mamlaka ya mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Bw. Peter Jackson akiwa pia ameambatana na meneja msaidizi Bw. Gwamaka…

Read More

Polisi Tanzania yapiga mkwara mzito

KICHAPO cha mabao 4-0 ilichopata Maafande wa Polisi Tanzania dhidi ya Mbeya City juzi, kimeonekana kumchanganya kocha wa timu hiyo, Bernard Fabian ambaye ameweka wazi michezo mitatu ijayo ya kumalizia mzunguko wa kwanza ni lazima kieleweke. Kocha huyo alisema katika michezo mitatu, miwili kati ya hiyo ni ya nyumbani ambayo wanaenda kufanyia kazi mapungufu yote…

Read More