Ivo awajaza upepo Kipenye, Kipalamoto

KITENDO cha washambuliaji wa Songea United, Cyprian Kipenye na Ramadhan Kipalamoto kupitia changamoto ya kutokufunga kwa takribani michezo minne ya kikosi hicho, imemuibua kocha mkuu wa timu hiyo, Ivo Mapunda anayeeleza ni jambo la kawaida.  Mapunda aliyetamba na Yanga, Simba na Azam FC sambamba na kukipiga Taifa Stars na kucheza soka la kulipwa Ethiopia na…

Read More

Waziri Ndumbaro aongoza zoezi la kutoa msaada wa kisheria kwa gereza la kiberege kwa wafungwa na Mahabusu

Waziri wa katiba na Sheria Dokta Damas Ndumbaro ameongoza zoezi la kutoa msaada wa kisheria kwa wafungwa na mahabusu Gereza la Kiberege lililopo Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro. Dk. Ndumbaro atoa msaada huo katika uzinduzi wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid Wilayani humo ambapo amesema lengo la Kampeni hiyo ni kusaidia Wananchi katika utatuzi…

Read More

Serikali yaita wawekezaji hatifungani ya miaka 20

Dar es Salaam. Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeita wawekezaji kuwekeza kwenye hatifungani ya muda mrefu ikiahidi riba ya asilimia 15.49 kila mwaka. Taarifa iliyotolewa na BoT Desemba 11, 2024 katika tovuti yake ilionyesha Serikali inahitaji kukusanya Sh156 bilioni kwenye mnada utakaofanyika Desemba 18, 2024. “Mnada huo utakaofanywa kupitia Benki Kuu ya Tanzania…

Read More

Mastercard Foundation EdTech Fellowship kuwezesha Kampuni za Elimu na Teknolojia

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv KAMPUNI ya Sahara Consult, kwa kushirikiana na Mastercard Foundation imetoa wito kwa wajasiriamali chipukizi wanaotumia teknolojia kutengeneza suluhisho kwenye elimu kutuma maombi yao kwenye awamu ya pili ya mradi wa ‘Mastercard Foundation EdTech Fellowship’. Nchini Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mtendaji Mkuu wa Sahara Consult, Jumanne Mtambalike wakati wa…

Read More

Wanne tu wanatosha Transit Camp

KAIMU Kocha Mkuu wa Transit Camp, Emmanuel Mwijarubi amesema katika dirisha hili dogo la usajili timu hiyo inahitaji kuongeza nyota wanne katika nafasi mbalimbali, zitakazowasaidia kuwatoa chini mwa msimamo na kusogea angalau juu zaidi. Kocha huyo anayekiongoza kikosi hicho baada ya Ally Ally kutimuliwa kutokana na mwenendo mbaya, alisema maeneo ambayo anahitaji yaboreshwe ni beki…

Read More

Mastaa wa Gofu watua Dar kuipamba Lina PG Tour

NYOTA wa gofu kutoka klabu mbalimbali nchini wanaanza kuwasili Dar kuanzia leo kushiriki mashindano ya Lina PG Tour yanayokamilisha raundi ya tano, kwenye viwanja vya Dar Gymkhana. Raundi hii itaamua nani anastahili kubeba ubingwa wa jumla kwa gofu ya ridhaa na ile ya kulipwa. Akifafanua kuhusu mashindano hayo, Yasmin Challi, mkurugenzi wa Lina PG Tour,…

Read More