Mbeya City yanogewa na ushindi

BAADA ya ushindi mnono ilioupata Mbeya City wa mabao 4-0 juzi dhidi ya Polisi Tanzania, kocha msaidizi wa kikosi hicho, Juma Bukoli amesema kwa sasa nguvu zao kubwa wanazielekeza katika mchezo ujao na Geita Gold utakaopigwa Desemba 22. Timu hiyo iliyoshuka daraja misimu miwili nyuma, itaendelea kusalia kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kucheza dhidi…

Read More

JK ndani ya Rombo Marathon & Ndafu Festival

RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete anatarajiwa kuongoza maelfu ya wanariadha wa mbio za  Rombo Marathon 2024, zinazoenda sambamba na tamasha ya vyakula asilia zitakazofanyika Desemba 23, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro. Akizungumza na wanahabari, Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala alisema wilaya hiyo imejipanga kupokea watu zaidi ya 3000 kutoka…

Read More

Tanzania, Kenya zaiomba FIA kunusuru ARC

TANZANIA imeunga mkono ombi la Kenya linalokitaka Chama cha Mbio za Magari Duniani (FIA) kupunguza ada ya kibali cha kuandaa mbio za ubingwa wa Afrika sambamba kuwadhamini madereva wanaoshiriki katika raundi zote za mashindano haya. Rais wa Chama cha Mbio za Magari Tanzania (AAT), Nizar Jivani alisema  ni kweli kuna mchakato wa kuyanusuru mashindano ya…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTIE: Amerudiana na Ex – wake nataka kumfundisha adabu

Nilikuwa nina mahusiano yangu ya muda mrefu, lakini nilikuwa nina migogoro ya mara kwa mara na huyo mwanamume. Nikakutana na mwingine aliyeonyesha nia na niliona ana sifa ninazozitaka nikakubali kuwa naye. Kabla sijakubali nilitaka kujua kuhusu uhusiano wake uliopita japo kwa ufupi, alinielewesha kuwa waliachana kwa sababu ilishindikana kuendelea, nilimuelewa kwani sikutaka kuhoji zaidi, maana…

Read More

Maniche sasa aja kivingine | Mwanaspoti

WAKATI dirisha la usajili likifunguliwa rasmi jana kwa ajili ya klabu kufanya maboresho mbalimbali, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma ‘Maniche’, amesema atazingatia maeneo machache kutokana na mahitaji yao na sio kusajili tu ilimradi. Maniche amekabidhiwa kikosi hicho baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo raia wa Marekani, Melis Medo kuondoka na kujiunga…

Read More

TUONGEE KIUME: Ni rahisi kununuliwa pombe kuliko chakula

Jamaa mmoja alikuwa na shida ya shilingi elfu hamsini. Akachukua simu akampigia rafiki yake na kumuomba amkopeshe. Rafiki yake akajibu kwamba, hana. Jamaa akaona isiwe kesi, kama elfu hamsini ni kubwa, basi hata elfu ishirini. Rafiki yake akamwambia, hata hiyo sina, hali yangu mbaya. Baadae jamaa akapigiwa simu na yule rafiki yake.“Uko wapi?” jamaa akaulizwa.“Niko…

Read More

Bila uaminifu na usiri, hakuna ndoa bali doa

Kwa pekee, leo tutadadavua ulazima, umuhimu na shuruti ya uaminifu katika ndoa. Japo ndoa huanza na mapenzi baina ya wawili, kinachofuatia ni uaminifu. Bila uaminifu ndoa si ndoa, bali doa. Ndiyo maana kuna usemi kuwa ndoa ni ndoana. Hii inatokana na ukweli kuwa mhusika hujikuta amejifunga kwa mtu asiyefaa, hasa unapokosekana uaminifu. Katika ndoa lazima…

Read More

Uwajibikaji unavyoweza kupandikizwa kwa mtoto

Dar es Salaam. Tafsiri ya kitaalamu inaelezea malezi kuwa ni mchakato wa maandalizi ya mtoto utakaomwezesha kukua, kukubalika na kushiriki katika shughuli za kijamii na kiutamaduni kwa kumlinda, kumjamiisha na kumpatia mahitaji na huduma za msingi. Mzazi ana nafasi ya pekee katika kumwandalia mtoto hatima ya maisha. Ni mtu anayemtunza, kumhudumia na kumfundisha mtoto mpaka…

Read More