Viongozi wa dini, Serikali wasisitiza amani na utulivu

Pwani. Watanzania wametakiwa kulinda, kutunza amani na utulivu hasa kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika mwakani. Viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa rai hiyo kwenye kongamano na dua maalumu ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan iliyoandaliwa na mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega, kwa ushirikiano na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania…

Read More

Usichojua ibada ya Hijja wakatoliki Kishomberwa

Mwanza. Kitongoji cha Kishomberwa kilichopo katika Kijiji cha Kigazi, wilayani Missenyi, Kagera, Tanzania, kimekuwa na umuhimu mkubwa kutokana na Kituo cha Hija cha Mtakatifu John Marie Muzeeyi, Mtanzania wa kwanza kutangazwa mtakatifu na Kanisa Katoliki. Kituo hiki huvutia maelfu ya waumini na watalii kila Januari, wakikumbuka maisha ya Muzeeyi na mashahidi wa Uganda waliouawa kwa…

Read More

Amerudiana na Ex – wake nataka kumfundisha adabu

Nilikuwa nina mahusiano yangu ya muda mrefu, lakini nilikuwa nina migogoro ya mara kwa mara na huyo mwanamume. Nikakutana na mwingine aliyeonyesha nia na niliona ana sifa ninazozitaka nikakubali kuwa naye. Kabla sijakubali nilitaka kujua kuhusu uhusiano wake uliopita japo kwa ufupi, alinielewesha kuwa waliachana kwa sababu ilishindikana kuendelea, nilimuelewa kwani sikutaka kuhoji zaidi, maana…

Read More

Jishikilie hii Sunday spesho! Simba vs CS Sfaxien

UKISIKI Jumapili maalumu, basi ndiyo leo. Ndio leo ni Sunday Spesho kweli kweli kutokana na mechi za maana zitakazopigwa kuanzia hapa nyumbani Tanzania hadi barani Afrika na kule Ulaya. Yaani kama wewe ni shabiki wa soka, basi leo unapaswa ujishilie kuanzia saa 10 jioni hadi usiku mwingine. Kama hujui, kuanzia muda huo, kutakuwa na vipute…

Read More