Majeraha kumng’oa Mutale Msimbazi | Mwanaspoti

TOFAUTI na matarajio ya viongozi na hata mashabiki na wapenzi wa Simba wakati anasajiliwa, ukweli ni kwamba Mzambia Joshua Mutale anahesabu siku tangu dirisha dogo la usajili likifunguliwa leo, kutokana na kinachoelezwa majeraha ya mara kwa mara yanaweza kumng’oa Msimbazi. Mutale alisajiliwa kwa mbwembwe katika dirisha kubwa la msimu huu, lakini ameshindwa kufanya maajabu akiwa…

Read More

Mbrazili aupitisha usajili wa Mwenda

MASHABIKI wa Yanga wamegawanyika kimtindo kwa sasa juu ya usajili wa beki mpya wa kulia Israel Mwenda aliyesajiliwa kwa mkopo akitokea Singida Black Stars, lakini kuna kocha mmoja wa zamani wa watani wa jadi, Simba amewatumia salamu Wananchi hao. Mwenda ametambulishwa katikati ya wiki hii na muda mfupi baadae aliibukia mazoezini sambamba na kikosi hicho…

Read More

Yanga ina dakika 270 tu CAFCL

YANGA imesaliwa na dakika 270 za kufa au kupona kama inataka kwenda robo fainali kutoka Kundi A ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya jana kuambulia pointi moja dakika za jioni baada ya mtokea benchi, Prince Dube kuchomoa bao na kuinyang’anya tonge mdomoni, TP Mazembe ya DR Congo, jijini Lubumbashi. Dube aliyekuwa hajafunga katika mechi…

Read More

Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji” X Blaq Diamond

  MSANII wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ni kibao chenye mikong’osio ya Amapiano na Afropop ambapo wawili hao wamefanya vurugu za aina yake katika wimbo huo. Wimbo huo haumzungumzii moja…

Read More