Dk. Biteko mgeni rasmi tamasha la Ijuka Omuka

Na Renatha Kipaka, Bukoba Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la Ijuka Omuka litakalofanyika mkoani Kagera ambapo litazinduliwa Desemba 18,2024. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwassa leo wakati akizungumza na waandishi wa habari. Amesema tamasha hilo litazinduliwa litaanza dua kwa…

Read More

Harmonize agonga kolabo na mastaa kibao

  MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka nchini Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho ‘Messi”. Anaripoti Joseph Shaluwa, Dar es Salaam … (endelea). Katika kolabo hiyo, mbali na Harmonize, KJ amemshirikisha mwanamuziki mwingine, mkali wa Dancehall kutoka Jamaica, Konshens ambao kwa pamoja wamenogesha singo hiyo. Ngoma hiyo ambayo…

Read More

Matukio ya mauji, ukatili yalivyoitikisa Zanzibar 

Unguja. Wakati tukielekea kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha mwaka 2025, matukio ya mauaji, kutekwa watu na ukatili wa kijinsia ni miongoni mwa mambo yatakayokumbukwa kwa namna ya pekee kisiwani hapa, miongoni mwa mengine. Kati ya matukio hayo yamo ya watu wanaodaiwa kutekwa na kukutwa wameuawa kikatili, miili kuokotwa barabarani ikiwa imeharibiwa na ugonvi wa wanandoa…

Read More

Kamati Kuu Chadema yakutana katikati ya joto la uchaguzi

Dar es Salaam. Kamati Kuu cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imekutana leo katika kipindi ambacho kuna joto la uchaguzi wa viongozi wa kitaifa ndani ya chama hicho, jambo ambalo linaonekana kuwagawa wanachama wake. Kikao hicho cha Kamati Kuu kimefanyika Desemba 14, 2024 jijini Dar es Salaam kikiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe. Ajenda kuu…

Read More

NSSF YATOA SEMINA KWA WAAJIRI WA SEKTA BINAFSI UBUNGO

Na MWANDISHI WETU. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetoa semina kwa waajiri wa sekta binafsi wanaohudumiwa na Ofisi ya NSSF Mkoa wa Ubungo, Dar es Salaam. Semina hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za NSSF Ubungo ikiwa na lengo la kuwakumbusha waajiri majukumu yao yakiwemo kusajili wafanyakazi wao na kuwasilisha michango…

Read More

DC Maswa amtimua ofisa wa Tasaf, mwenyewe ajitetea

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge ametoa agizo la kuondolewa kwa Grace Tungaraza, Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) wilayani humo. Hatua hiyo inatokana na madai ya kushindwa kusimamia ipasavyo miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika wilaya hiyo. Mkuu huyo wa wilaya katoa agizo hilo leo Jumamosi Desemba 14,…

Read More

Dube aikoa Yanga jioni, ikipata pointi moja ugenini

BAO la dakika za jioni lililowekwa kimiani na mshambuliaji aliyetokea benchi, Prince Dube imeiokoa Yanga isife ugenini jijini Lubumbashi, DR Congo baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji TP Mazembe na kufufua kwa mbali tumaini la kutakati tiketi ya robo fainali kama itazitumia vyema mechi tatu ilizosaliwa nazo. Ikicheza kwenye Uwanja wa Mazembe,…

Read More

Mawakili wa TLS kuwapa msaada wafungwa

Kilombero. Waziri wa Sheria na Katiba, Dk Damas Ndumbaro amewahakikishia wafungwa katika magereza mbalimbali nchini, kuwa jopo la mawakili kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), litawafikia na kushughulikia changamoto zao za kisheria hususan rufaa. Akizungumza na askari pamoja na wafungwa katika Gereza la Kiberege, wilayani Kilombero, Dk Ndumbaro amesema kupitia kampeni ya Mama Samia Legal…

Read More