
TADB YAJIVUNIA MRADI WA TANLAPIA
Meneja wa Uzalishaji Kampuni ya Tanlapia Farida Buzohera akilisha Samaki Chakula. Meneja wa Uzalishaji wa Samaki aina ya sato Kampuni ya Tanlapia Bi. Farida Buzohera (aliyeshika maiki) akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya utendaji kwa waandishi wa habari na Wafanyakazi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi…