WAZIRI WA AFYA,WATUMISHI WA WIZIRA WAENDELE NA ZIARA YA KUJIFUNZA BIMA YA AFYA KWA WOTE NCHINI UINGEREZA

    Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama akiambatana na ujumbe wake kutoka Tanzania akiwemo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bw. Ismail Rumatila, Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu pamoja na wataalam wengine wamekutana na uongozi wa ‘National Health Services’ (NHS) ikiwa ni muendelezo wa ziara ya kujifunza namna bora ya kuimarisha…

Read More

Kally kuanza na mastraika KMC

KOCHA wa KMC, Kally Ongala, amesema anahitaji kufanya kazi kubwa ili kuhakikisha kikosi chake kinapata makali ya kutosha na kufanya vizuri katika michezo ijayo ya Ligi Kuu Bara, huku akitaka eneo la ushambuliaji analoendelea nayo kuliweka sawa. Kally alikiri kwamba timu yake inahitaji kuboresha baadhi ya maeneo, hasa katika safu ya ushambuliaji, ili kufikia malengo…

Read More

Walimu Mara watilia shaka agizo la RC ukarabati wa shule

Musoma. Baadhi ya walimu wa shule za Serikali mkoani Mara wameiomba Serikali kuharakisha ukarabati wa majengo ya shule yaliyoharibika kabla ya shule kufunguliwa Januari mwaka ujao. Walimu hao wameeleza wasiwasi wao juu ya usalama wa wanafunzi na walimu wanaotumia majengo hayo, ambayo yanadaiwa kuwa katika hali mbaya na kuhatarisha maisha. Walimu hao wametoa maoni yao…

Read More

Kocha Azam amzuia Feisal | Mwanaspoti

AZAM FC jana jioni ilikuwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kumenyana na Tabora United katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku nyuma kocha wa kikosi hicho, Rachid Taoussi ametoa msimamo wake kwa kiungo mshambuliaji nyota wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Fei Toto anayeichezea Azam kwa msimu wa pili mfululizo sasa baada ya…

Read More

Wanaotumia vyandarua kufugia kuku kukiona

Shinyanga. Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imewataka viongozi wa serikali za mitaa, vijiji, na vitongoji kuwachukulia hatua wananchi wanaotumia vyandarua kwa matumizi yasiyokusudiwa kama kufugia kuku, kuvulia samaki, au kuweka kwenye bustani za mboga. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha leo Jumamosi Desemba 14, 2024, wakati wa mkutano wa waraghabishi…

Read More

Kocha awaka, kisa kipa wa Azam

KOCHA wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi amewaka na kusema ushindi iliyoupata timu hiyo juzi dhidi ya Azam FC, haukutokana na makosa ya kipa wa Wanalambalamba kama inavyosemwa na mashabiki na wapenzi wa soka, ila ni ubora wa kikosi alichonacho. Tabora iliiduwaza Azam kwa kuikung’uta mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, huku mabao…

Read More

Mapilato wa Simba, Yanga CAF hawa hapa

YANGA inatarajiwa kushuka uwanjani jioni ya leo ikiwa ugenini DR Congo kuumana na TP Mazembe, huku Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likiwapangia mwamuzi kutoka Benin, Djindo Louis Houngnandande kulihukumu, huku refa kutoka Madagascar, Andoftra Revolla Rakotojuana amepewa ya Simba na CS Sfaxien. Yanga na Mazembe zinavaana katika pambano la Ligi ya Mabingwa Afrika zikiwa Kundi…

Read More

Kitasa chanukia Fountain Gate | Mwanaspoti

Fountain Gate iko hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa beki na nahodha wa Coastal Union, Jackson Shiga ili kuongeza makali ya safu ya ulinzi, ikiwa ni pendekezo la kocha mkuu, Mohamed Muya. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo,  zinasema kocha Muya hajaridhishwa na safu ya ulinzi ya kikosi hicho hadi sasa, licha ya…

Read More

'Kurekebisha hali ya kawaida' ya mateso, huku kukiwa na mashambulizi dhidi ya watu na misafara ya misaada – Global Issues

Kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya ndani, Wapalestina 30 waliuawa katika eneo la kati la Gaza usiku wa kuamkia Ijumaa kutokana na mashambulizi ya anga, alisema Louise Wateridge, Afisa Mwandamizi wa Dharura wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Palestina. UNRWAakizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva kutoka katikati mwa…

Read More

Hekaya za mlevi: Mwaka unaisha angalia usijimalize

Dar es Salaam. Mwezi Desemba una sikukuu nyingi. Sehemu kubwa ya dunia inajiandaa kumpokea Masihi, lakini pia kufunga mwaka tayari kwa kuupokea mwaka mpya. Kila jamii inausherehekea mwezi huu muhimu kwa utamaduni wake. Wachagga wataenda kulamba kisusio, Waskotish watavaa sketi za drafti, Warusi watakunywa Vodka, na wengine watafululiza kwenye klabu za starehe.  Msimu huu unaungana…

Read More