
Benki ya Absa Tanzania Yashinda Tuzo 11 za Heshima Mwaka 2024
Benki ya Absa Tanzania Yashinda Tuzo 11 za Heshima Mwaka 2024 • Kutambuliwa kwake kunadhihirisha, Ufanisi katika Ubunifu wa Kifedha, Uongozi na kujali Wateja. Benki ya Absa Tanzania inajivunia kutangaza mafanikio yake makubwa ya kushinda tuzo 11 za heshima mwaka 2024. Tuzo hizi zinatambua mchango mkubwa wa benki katika uwezeshaji wa kifedha, uvumbuzi, utawala…