Nusu ya watahiniwa ununuzi, ugavi wafeli mitihani

Dar es Salaam. Bodi ya Wataalamu ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB), imesema watahiniwa 663 kati ya 1,314 wa fani ya ununuzi na ugavi,  wamefeli na watatakiwa kurudia baadhi ya masomo. Pia bodi hiyo imesema watahiniwa 41 waliofeli kabisa watapaswa kuanza masomo yao upya. Mbali na matokeo hayo, PSTB imetangaza kwa mara ya kwanza kuzalisha wakaguzi…

Read More

TIA YAPONGEZWA ELIMU KWA VITENDO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akimkabidhi cheti cha pongezi kwa kufanya vizuri katika masomo yake ya Rasilimali Watu, Bi. Naf-hat fahmi Hamed, wakati wa Mahafali ya 22 ya Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika Kampasi ya Dar es Salaam Viwanja vya Kurasini ambayo ni Makao Makuu ya Taasisi hiyo.  …

Read More

Wasafwa, kabila lililoishi ghorofani, choo ndani

Wakati kwa sasa watu wakiona kuwa na nyumba ya ghorofa ndio kielelezo cha mafanikio ya kimaisha, watu wengi hawajui kuwa Wasafwa walishakuwa wajanja siku nyingi kwa kuishi sio tu ghorofani, lakini hata kuwa na choo ndani ya nyumba. Japo hazikuwa ghorofa za zege, iliwatosha watu wa kabila hilo kujenga maghorofa yao na kisha kuezeka kwa…

Read More

Mahrang BalochFeted Ulimwenguni Pote, Anateswa Nyumbani – Masuala ya Ulimwenguni

Mahrang Baloch hivi majuzi alitambuliwa na BBC kama mmoja wa wanawake walio na ushawishi na ushawishi mkubwa kutoka kote ulimwenguni kwa 2024. Credit: Baloch Yakjehti Committee na Zofeen Ebrahim (karachi) Ijumaa, Desemba 13, 2024 Inter Press Service KARACHI, Desemba 13 (IPS) – “Kutambuliwa huku kwa chombo cha habari kunaonyesha hadithi chungu za utekaji nyara, utesaji,…

Read More

Wasafwa, kabila la lililoishi ghorofani, choo ndani

Wakati kwa sasa watu wakiona kuwa na nyumba ya ghorofa ndio kielelezo cha mafanikio ya kimaisha, watu wengi hawajui kuwa Wasafwa walishakuwa wajanja siku nyingi kwa kuishi sio tu ghorofani, lakini hata kuwa na choo ndani ya nyumba. Japo hazikuwa ghorofa za zege, iliwatosha watu wa kabila hilo kujenga maghorofa yao na kisha kuezeka kwa…

Read More

Kauli ya Serikali sakata la kuzuiwa Air Tanzania Ulaya

Dar es Salaam. Wakati  taarifa ya ndege za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kuzuiwa kuingia katika anga la nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zikisambaa, Serikali imefafanua ikisema ipo kwenye mazungumzo. Taarifa iliyotolewa na EU, ilionyesha ndege za Air Tanzania zimeongezwa katika orodha ya ndege zilizofungiwa kuingia katika nchi zake 27, japokuwa bado shirika…

Read More