Vyama vya siasa kufungua pazia maoni Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam. Vyama  19 vya siasa vilivyosajiliwa nchini Tanzania vinatarajiwa kufungua pazia la utoaji wa maoni kuhusu Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, iliyozinduliwa Desemba 11, 2024, Zanzibar. Vyama hivyo vinaanza kutoa maoni kesho Desemba 14, 2024, huku matarajio ya wananchi kwa Dira hii yakiwa ni kujenga uchumi imara, unaostawi na kuboresha…

Read More

Chande: Tafiti zisaidie jamii, siziishie kwenye maktaba

Arusha. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande amewataka wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kutumia matokeo ya tafiti walizofanya kusaidia jamii kukabiliana na changamoto mbalimbali walizozibaini. Chande ametoa wito huo leo Ijumaa, Desemba 13, 2024, katika mahafali ya 26 ya chuo hicho, wahitimu 5,854 wa ngazi za Astashahada, Shahada na Shahada ya Uzamili….

Read More

Waziri Masauni Aahidi Kuongeza Kasi Katika Utekelezaji wa Katazo la Mifuko ya Plastiki na Usimamizi wa Biashara ya Kaboni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni ameahidi kusimamia utekelezaji wa katazo la kisheria la matumizi ya mifuko ya plastiki, usimamizi wa biashara ya kaboni ili kuongeza msukumo wa sekta hifadhi ya mazingira nchini. Mhe. Mhandisi Masauni amesema hayo leo Desemba 13, 2024 wakati wa hafla…

Read More