Mwenyekiti wa kitongoji matatani kwa kuchochea vurugu za wakulima, wafugaji

Morogoro. Mwenyekiti wa Kitongoji cha Ngoisani Kilosa mkoani Morogoro, Lepapa Kidole amekamatwa kwa tuhuma za kuchochea vijana kutoka jamii ya wafugaji kuwashambulia kwa fimbo na virungu wakulima wa Kijiji cha Matongolo. Tukio hilo limetokea baada ya mwenyekiti huyo kudaiwa kuwashawishi vijana wa kimaasai kuanzisha vurugu na kuwapiga wakulima wakiwazuia kulima miwa wakiotaka walime mazao ya…

Read More

Chadema Mbeya yatoa masharti kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025

Mbeya. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya kimesema hakitashiriki uchaguzi mkuu iwapo hakutakuwa na Tume huru ya uchaguzi kutokana na hujuma walizofanyiwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Katika uchaguzi uliofanyika Novemba 27, 2024, Chadema haikushinda mtaa wowote jijini Mbeya kati ya mitaa 181 iliyopo huku kwenye vijiji kikiambilia viti 13 kati…

Read More

WAZIRI JAFO ASHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI CHA KISEKTA NCHINI ETHIOPIA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo,leo Disemba 12,2024 ameshiriki kikao cha Mawaziri cha kisekta chenye lengo la kuimarisha masuala ya kiuchumi kilichofanyika Jijini Addis Ababa, Ethiopia. Katika Mkutano huo masuala mbalimbali ya kisera yamejadiliwa ili kuimarisha uchumi kupitia Biashara, Madini ya mkakati, na Utalii. Dkt.Jafo akiwa na Naibu Waziri wa Madini…

Read More

Lissu aibua mapya Chadema, Profesa Safari atia neno

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea uenyekiti  wa chama hicho, mnyukano mkali umeibuka mitandaoni miongoni mwa makada na wanaharakati, huku wachambuzi wakitaka yaliyoibuliwa na kiongozi huyo kufanyiwa kazi. Kwa upande mwingine, aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Abdallah Saffari amemtaka Lissu…

Read More

TIA Yapongezwa kwa Juhudi za Kuendeleza Ubunifu, Ujasiriamali na Miundombinu ya Elimu

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imepongezwa kwa kuwa mstari wa mbele kupitia mpango wa vituo atamizi, unaowawezesha wanafunzi kujiajiri, kuajirika, na kuchangia uchumi wa taifa. Aidha, wamepongezwa kwa kuwaendeleza wanafunzi wenye mawazo ya kibunifu ili waweze kufanikisha malengo yao. Pongezi hizo zimetolewa leo Desemba 13, 2024 Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More

Jalada kesi ya kuteka kobe 116 lapitiwa upya

Dar es Salaam. Jalada halisi la kesi ya kuongoza genge la uhalifu na kuteka nyara za Serikali ambazo ni Kobe 116 inayowakabili watu wanane wakiwemo maofisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNIA) na raia wa Ukraine, limerudishwa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS) kwa ajili ya kupitiwa upya. Hayo yameelezwa leo…

Read More