Makoba aaga akikumbuka sekeseke la wizara nne

Dodoma. Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Thobias Makoba amesema changamoto za kushughulikia wizara nne kwa wakati mmoja zilimpa msukumo mkubwa wa kujifunza na kufanya kazi kwa bidii. Akikabidhi ofisi kwa Msemaji Mkuu wa Serikali mpya, Greyson Msigwa leo Ijumaa Desemba 13, 2024, Makoba amesema anaondoka akiwa amejifunza mengi zaidi kuliko awali. Amesema alipoanza kazi hiyo…

Read More

‘Marufuku kuwakatia maji wateja ‘wikiendi’

Dar es Salaam. Mamlaka za maji nchini zimezuiwa kukatia wateja wake huduma za maji mwishoni mwa juma kwa sababu kufanya hivyo ni kwenda kinyume na utaratibu wa udhibiti. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Desemba 13, 2024 na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Titus Kaguo wakati wa…

Read More

MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHMNI KWA WIZARA, IDARA ZINAZOJITEGEMEA, WAKALA WA SEREKALI NA MASHIRIKA YA UMMA YAFANYIKA JIJINI TANGA

Mwandishi Wetu Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kupitia kitengo chake maalumu cha ushauri wa kitaalam na kwa kushirikiana na washirika wa chuo kimeendelea kutekeleza makubaliano na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ya kuimarisha mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini nchini. Kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Ofisi ya…

Read More

Cake & Ice Cream kasino mtandaoni ushindi x2500.

Hakuna mtu asiyejua utamu wa keki, na utamu huo hupatikana kwa kutengenezwa vizuri na kupambwa kwa Ice Cream bomba ili kuivutia keki, utamu huu unaupata tena Meridianbet Kasino Mtandaoni kwa kucheza mchezo wa Cake and Ice Cream. Cake and Ice Cream ni mchezo wa kasino mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Red Tiger. Katika mchezo huu,…

Read More

Simulizi ya binti aliyefufua tumaini lililopotea

Morogoro. Licha ya kupoteza matumaini ya kuendelea na safari ya elimu kutokana na sababu mbalimbali, baadhi ya wasichana mkoani Morogoro wamepata mwanga wa kuzifikia ndoto zao. Hiyo ni baada ya Shirika lisilo la kiserikali za Camfed kuwaendeleza kielimu kwa wale walioishia njiani, huku waliofeli wakipelekwa kupata elimu ya ufundi. Wasichana hao ni wale walioshinda kuhitimu…

Read More

TAKUKURU MIRERANI WATOA MSAADA WA VYAKULA LIGHT IN AFRICA

Na Mwandishi wetu, Mirerani TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kituo cha Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imetoa msaada wa vyakula kwa ajili ya kusaidia kituo cha watoto yatima na wenye uhitaji maalum wa Light In Africa. Mkuu wa TAKUKURU Mirerani, Sultan Ng’aladzi akizungumza wakati wa kukabidhi misaada hiyo ya unga, sukari, mafuta…

Read More

Prof. Kitila: Lissu ameudanganya Umma, hatukupanga mapinduzi

  PROFESA Kitila Mkumbo aliyewahi kuwa kiongozi mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baadaye ACT Wazalendo na sasa ni Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema kuwa Tundu Lissu ameudanganya umma kuwa yeye na Zitto Kabwe Kiongozi Mstaafu wa ACT walikuwa wanapanga mipango ya kumpindua Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema. Anaripoti Mwandishi Wetu,…

Read More