Mzee wa msikiti afariki dunia kwa kushambuliwa na nyuki

Karagwe. Mzee mmoja mkazi wa Omurushaka Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, Haruna Gabery (75) amefariki dunia baada ya kushambuliwa na nyuki akiwa msikitini akifanya maandalizi ya swala ya jioni. Gabery anadaiwa kufariki dunia akiwa msikiti wakati akijaribu kujiokoa baada ya kuvamiwa na nyuki waliyokuwa wametapakaa mtaa mzima kumzidi uwezo hadi kuingia puani na mdomoni, hatimaye…

Read More

KONGAMANO LA KUMALIZA MWAKA LA KKKT MIRERANI LAFANA

Na Mwandishi wetu, Mirerani KONGAMANO la kumaliza mwaka la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mirerani Jimbo la Arusha Mashariki Dayosisi ya Kaskazini Kati, mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, limefana kwa waumini kupata chakula cha roho na kwaya mbalimbali kuhudumu. Mchungaji kiongozi wa usharika wa Mirerani, Loishiye Godson Laizer…

Read More

Baleke anahesabu siku tu Namungo

BAADA ya kutupia bao moja akiwa na Yanga, mshambuliaji Jean Baleke inaelezwa kwa sasa anajiandaa kuondoka, huku akitajwa huenda akaibukia Namungo inayonolewa na Juma Mgunda. Nyota huyo wa zamani wa Simba, alirejea nchini mwanzoni mwa msimu huu akitokea Libya alikokuwa kaicheza kwa mkopo kutoka klabu yake ya TP Mazembe, lakini amekuwa hana namba katika kikosi…

Read More

NBC yazindua kampeni Tabasamu Tukupe Mashavu

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa pili wa kampeni yake inayofahamika kama “Tabasamu Tukupe Mashavu,” ikilenga kutoa fursa kwa wateja wa benki hiyo kufurahia pamoja na wapendwa wao wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki katika Sikukuu za mwisho wa mwaka kupitia punguzo la bei kwenye manunuzi ya huduma mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu,…

Read More

Rupia aitamani tena tiketi ya CAF

STRAIKA wa Singida Black Stars, Elvis Rupia juzi alifunga mabao mawili wakati timu hiyo ikiizamisha Dodoma Jiji kwa mabao 2-1, huku mwenyewe akisema ana imani anaweza kufanya makubwa zaidi kuliko sasa ili kuisaidia timu hiyo ikate tiketi ya mechi za kimataifa kwa msimu ujao. Msimu uliopita Rupia aliionja michuano ya CAF akiwa na Singida Fountain…

Read More

WANANCHI KILUNGULE WAIOMBA SERIKALI KUDHIBITI MIKOPO CHECHEFU INAYOMKANDAMIZA MWANAMKE

NA MWANDISHI WETU,  WANANCHI wa Kata ya Kilungule, Halmashauri ya Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kudhibiti utitiri wa vikundi na taasisi zinazotoa mikopo chechefu na kupelekea mkopaji kufilisika pindi akichelewesha rejesho. Akizungumza leo Desemba 13, 2024 Jijini Dar es Salaam, wakati wa kikao cha Mkurugenzi wa Halmshauri hiyo na Vituo vya…

Read More

Marekani yaona ishara ya makubaliano ya Gaza – DW – 13.12.2024

Akiwa ziarani nchini Uturuki siku ya Ijumaa (Disemba 12), Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani, Antony Blinken, alisema alikuwa anaona dalili za kupigwa hatua kuelekea makubaliano ya kusitisha mapigano kwenye Ukanda wa Gaza uliokwishabomolewa kabisa kwa makombora na mizinga ya Israel.  “Tumeijadili Gaza, na tumejadili fursa iliyopo ya kupata makubaliano ya kusitisha mapigano. Na tumeona…

Read More