Mpox yaendelea kuenea nchini Kenya – DW – 13.12.2024

Miji yenye shughuli nyingi za usafiri hasa za kutoka nje ya nchi inaripotiwa kuathiriwa zaidi nchini huku Wakenya wengi wakikosa taarifa muhimu kuhusu ugonjwa huo.  Wizara ya afya ya Kenya imethibitisha wagonjwa wapya waliokutwa na ugonjwa wa mpox, hatua ambayo inafikisha jumla ya wagonjwa waliothibitishwa kupata ugonjwa huo kuwakatika kaunti 12 nchini kote. Katika taarifa…

Read More

MHE. MCHENGERWA NI ‘ASSET’ YA RUFIJI NA TAIFA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. Festo Dugange amewaambia wananchi wa Jimbo la Rufiji kuwa Mhe. Mohamed Mchengerwa ni ‘Asset’ ya Jimbo la Rufiji na Tanzania kwa ujumla kutokana na utendaji kazi wake unaogusa kila sekta muhimu kwa watanzania. Mhe. Dugange ameyasema hayo wakati akitoa salaam zake…

Read More

TRA YAZINDUA BOTI YA DORIA ZIWA VICTORIA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Boti ya doria ambayo itatumika kupambana na magendo katika Ziwa Victoria na kukomesha vitendo vya ukwepaji kodi ambavyo vimekuwa vikifanywa na watu wasioitakia mema Taifa la Tanzania. Uzinduzi wa Boti hiyo ya Doria umefanywa na Naibu Waziri wa Fedha Mhe Hamad Chande mkoani Mwanza na kueleza kuwa ujio wa…

Read More

Profesa Saffari aibuka, amwonyesha njia Tundu Lissu

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kutangaza nia ya kuwania uenyekiti, mwanasiasa mkongwe, Profesa Abdallah Saffari amesema amefurahishwa na uamuzi huo, lakini amempa tahadhali kuelekea mchakato huo. Amesema kwa uzoefu wake wa siasa za Tanzania, mara nyingi ni vigumu kuwashinda wenyeviti waliopo madarakani kwa sababu mbalimbali, akijitolea…

Read More

BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA TANZANIA MRADI WA SGR

  Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Benki ya Dunia imeshangazwa na hatua kubwa iliyofikiwa na Serikali katika kutekeleza Mradi wa Kimkakati wa Reli ya Kisasa wa SGR, na kuahidi kuwa itaweka mkono wake kusaidia ujenzi wa Reli hiyo muhimu kwa kukuza biashara na ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es…

Read More

WANAMICHEZO UDOM WAAGWA – Mzalendo

  Manahodha wakikabidhiwa bendera ya Chuo, na Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakati wa halfa ya kuwaaga. ….. Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Razack Lokina, leo tarehe 13 Desemba, 2024 amewaaga Wanafunzi 57 ambao wanatarajia kushiriki Mashindano ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki ambayo kwa mwaka huu yanafanyika…

Read More