Uamuzi wa Lissu waibua minyukano mitandaoni

Dar es Salaam. Joto la uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa, limepamba moto katika mitandao ya kijamii. Baada ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kutangaza nia ya kuwania uenyekiti wa Taifa, imeshuhudiwa minyukano ya makada na hoja zenye mitazamo tofauti za wadau wa siasa, wanaharakati na wananchi. Kwa upande mmoja, uamuzi huo umepokelewa…

Read More

Mbaroni akituhumiwa kumua baba, mjumbe serikali za mtaa

Kilosa. Zuberi Habibu (45), mkazi wa Kijiji cha Madudumizi B, Kata ya Zombo, Kilosa mkoani Morogoro, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili, akiwemo baba yake mzazi, pamoja na kumjeruhi mwenyekiti wa kijiji hicho. Majeruhi wa tukio hilo, ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Madudumizi, Hamis Msabaha akizungumza na Mwananchi leo Ijumaa…

Read More

Yanayochangia kuharibu valvu za moyo kwa mtoto

Dar es Salaam. Kutotibiwa mapema magonjwa ya mafua yanayosababishwa na bakteria, nimonia na mafindofindo ‘tonsillitis’ imetajwa kuchangia uharibifu wa milango ya moyo, maarufu kama ‘valvu’. Valvu ni sehemu za moyo zinazofanya kazi kama milango inayofunguka na kufunga, inayosaidia kuruhusu damu kutiririka kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Valvu zinapochoka au kuharibiwa, mtu hupata ugonjwa wa moyo…

Read More

SGR, historia iliyoleta  matumaini mapya usafiri wa reli

Dar es Salaam. Mwaka 2024 ulipoanza usafiri wa reli ya kati Tanzania, ulikuwa ukikabiliwa na changamoto kadhaa. Reli hiyo inayosimamiwa na  Shirika la Reli Tanzania (TRC),  inatumia  mfumo wa reli ya zamani (MGR) uliojengwa wakati wa ukoloni. Miongoni mwa changamoto ni kasi ndogo, hivyo kuchukua muda mrefu kwa abiria na mizigo kusafiri kati ya miji…

Read More

G7 kuijadili Syria, serikali yaahidi utawala wa sheria – DW – 13.12.2024

Viongozi wa kundi la mataifa saba yaliyoendelea kiuchumi duniani ya G7, watajumuika mchana wa 13.12.2024 katika kutafuta muongozo wa pamoja kwa serikali mpya ya Syria, ambayo imeahidi kulinda utawala wa sheria baada ya miaka mingi ya dhuluma chini ya rais aliyepinduliwa Bashar al-Assad. Assad aliikimbia Syria baada ya mashambulizi makali yaliyoongozwa na kundi la Kiislamu la…

Read More