Urusi yashambulia miundombinu ya nishati ya Ukraine – DW – 13.12.2024

     Urusi imefanya mashambulizi makubwa kwenye vituo vya nishati vya Ukraine, Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati wa Ukraine Galushchenko. Mashambulizi hayo yanafanyika wakati Ukraine ikiendelea kutoa mwito kwa washirika wake wa kupatiwa mifumo zaidi ya ulinzi wa anga. Akitumia mtandao wa Facebook, Waziri wa Nishati wa Ukraine, Galushchenkoamesema kwa mara nyingine adui yao…

Read More

VIDEO: Simulizi za walioshambuliwa na mamba Sengerema (2)

Mwanza. Hujafa hujaumbika, ndivyo anavyoanza kusimulia mzee Mukama Vedastus, aliyekatwa mkono wa kulia baada ya kuliwa na mamba wakati akivua samaki. Anasema bila ujasiri wa kukandamiza vidole vyake machoni mwa mamba, maisha yake yangebaki kuwa historia, kwani mnyama huyo alidhamiria kumuua. “Nikikumbuka huwa naamini nguvu ya Mungu, kwani (mamba) alishanitoa utumbo nje, ingawa hakuwa ameutoboa,…

Read More

Askofu awafunda Lissu, Mbowe na wafuasi wao

Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian Tanzania, Emmaus Mwamakula amesema sasa ni wakati wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuionyesha dunia kwamba ndiyo chama kinachoweza kuiongoza nchi hii katika kuweka na kusimika mifumo ya utawala wa haki katika uchaguzi wake wa ndani. Ameeleza hayo katika waraka aliouchapisha katika ukurasa wake wa Facebook, siku…

Read More

Askofu awafunza Lissu, Mbowe na wafuasi wao

Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian Tanzania, Emmaus Mwamakula amesema sasa ni wakati wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuionyesha dunia kwamba ndiyo chama kinachoweza kuiongoza nchi hii katika kuweka na kusimika mifumo ya utawala wa haki katika uchaguzi wake wa ndani. Ameeleza hayo katika waraka aliouchapisha katika ukurasa wake wa Facebook, siku…

Read More

Simba, Mnuka waitwa mezani | Mwanaspoti

LILE sakata la Aisha Mnunka na klabu yake limepatiwa ufumbuzi baada ya pande hizo mbili kukutanishwa katika kikao cha Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kilichokuitana jana Jumatano kuamriwa wakae meza moja kuyamaliza. Agosti Mosi, mwaka huu, Mwanaspoti iliripoti nyota huyo wa timu ya taifa (Twiga Stars) alitoroka…

Read More

Wabunifu, wahandisi, na wadau wa Sekta ya Ujenzi hakikisheni kila mradi unazingatia masuala ya uhifadhi wa mazingira

NAIBU Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya ametoa wito kwa wabunifu, wahandisi, na wadau wote wa Sekta ya Ujenzi kuhakikisha kila mradi wa ujenzi unazingatia masuala ya uhifadhi wa mazingira, kupunguza taka zinazozalishwa na kuongeza ufanisi wa rasilimali. Kasekenya ametoa wito huo katika hafla ya Tuzo za Ujenzi na Majengo ya Afrika Mashariki zilizofanyika Dar…

Read More

Maxime asema uzembe umewaponza kwa Singida

DODOMA Jiji jana ilipokea kipigo cha mabao 2-1 kikiwa ni cha sita katika Ligi Kuu Bara kutoka kwa Singida United, lakini kocha wa kikosi hicho amekiri wameangushwa na uzembe walioufanya wachezaji dakika 20 za mwanzo kwenye Uwanja wa Liti, mjini SIngida ulipochezwa mchezo huo. Elvis Rupia alifunga mara mbili dakika ya nane na 15 iliyotosha…

Read More

African Sports watoa visingizio Championship

KOCHA Mkuu wa African Sports ‘Wanakimanu manu’, Abdallah Kessy ametoa sababu zinazowakwamisha kupata matokeo mazuri katika Ligi ya Championship, huku akisisitiza bado hajaikatia tamaa timu hiyo kwani anaamini mechi zilizosalia wanaweza kujikomboa na kuepuka kushuka daraja tena. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya Muungano wakilibeba kombe msimu wa 1988, kwa sasa ipo nafasi…

Read More