
Wanandoa wafa, ajali iliyoua walimu wanne Nyasa
Songea. Wanandoa wawili ni miongoni mwa watu sita waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma. Ajali hiyo ilitokea jana saa 1:10 asubuhi, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuanguka katika mteremko wa Chunya wilayani humo. Wanandoa hao waliofariki dunia ni Michael Mkinga, aliyekuwa dereva na mke ni Judith Nyoni ambaye ni…