Umeme wa nguzo wadaiwa kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu

Tabora. Mtoto wa mwaka mmoja na miezi minane aliyefahamika kwa jina la Martine Ndaro  amefariki dunia baada ya kupigwa shoti na waya wa kushikikilia nguzo ya umeme jirani na nyumba yao. Pia mtoto mwingine anayeitwa Vaileth Ndaro mwenye umri wa miaka miwili, amenusurika katika ajali hiyo iliyotokea jana Jumanne Desemba 10, 2024. Akizungumza na Mwananchi…

Read More

USIKU WA ULAYA MAOKOTO NJE NJE

KAMA utafanikiwa kuchanga karata zako vizuri leo unaweza kuondoka na maokoto ya kutosha leo kupitia michezo ya ligi ya mabingwa ulaya, Kwani itachezwa michezo mikali sana leo kwenye usiku wa ulaya ambayo imepewa Odds bomba pale Meridianbet. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ni michezo mikali ambayo itakutanisha miamba ya soka barani…

Read More

Mwanuke, Ondongo haooo Fountain Gate

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba, Jimmyson Mwanuke na beki Faria Ondongo wapo hatua ya mwisho ya mazungumzo ya kujiunga kwa mkopo Fountaine Gate wakitokea Singida Black Stars. Ondongo msimu huu alikuwa akikipiga kwa mkopo Tabora United baada ya Singida kumpeleka huko, lakini hivi karibuni ilielezwa klabu mama aliyokuwa akiichezea imemrudisha kabla ya kuelezwa Fountain…

Read More

Iringa yaruhusu wenza kushuhudia wake zao wakijifungua

Iringa. Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imeanzisha rasmi huduma mpya ya kujifungua, huku ndugu au mweza wako akishuhudia namna tukio hilo linavyotokea. Akizungumza na mwananchi ofisini kwake December 10, 2024 Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo Dk Alfred Mwakalebela amesema huduma hiyo ni mpya katika mkoa huo, hivyo mjamzito atapaswa kwenda na mwenza au ndugu…

Read More

Mido ya boli yatua Namungo

KIUNGO wa Singida Black Stars, Najim Mussa anakaribia kujiunga kwa mkopo Namungo baada ya makubaliano ya pande mbili baina ya nyota huyo na klabu. Nyota huyo aliyejiunga na Singida msimu huu akitokea Tabora United baada ya kuonyesha uwezo mzuri na kutabiriwa makubwa, mambo yamekuwa tofauti kwake kwani hadi sasa ameanzia benchi michezo miwili tu kati…

Read More

Teknolojia kuchangia Maendeleo ya nchi.

Naibu katibu Mkuu Wizara ya elimu sayansi na teknolojia Prof Daniel Mushi amesema ili nchi ipige hatua kimaendeleo ni lazima kutumia tenkolojia ambayo inamchango mkubwa Katika kuleta mabadiliko nchini na duniani kwa ujumla. Porofesa Mushi ameyasema hayo wakati akizungumza katika kongamano la tatu la kimataifa la vyuo vya elimu ya juu vya ndani na nje…

Read More

Yaliyobamba 2024: Vipigo 11 vilivyotikisa mwaka huu

LICHA ya kutemeshwa kibarua, aliyekuwa kocha wa Yanga, Miguel Gamondi atabaki kwenye mioyo ya Wananchi kwa kile alichokifanya akiwa na timu hiyo kutokana na rekodi nyingi za nguvu akitoa dozi za kutosha za kuanzia mabao matano katika Ligi Kuu, Kombe la FA na hata michuano ya kimataifa ya CAF. Waswahili husema mnyonge mnyongeni, lakini haki…

Read More