Wadau wa elimu Watakiwa kushirikiana kuunga mkono serikali

Wadau wa elimu wakiwemo Camfed wametakiwa kuendelea kushirikiana na wadau wengine na serikali katika programu zake zenye lengo la kusaidia watoto hasa wakike kwenye suala la elimu kwa kuongeza kasi na uwekezaji wa sera mpya iliyoboreshwa. Hayo yamesemwa na Ernest Hinju Mkurugenzi msaidizi elimu ya watu wazima na elimu maalumu kwenye mkutano mkuu wa mwaka…

Read More

Mama adaiwa kumuua mwanawe kwa panga

Morogoro.  Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Teodora Mkunga (39), mkazi wa Lusange, Kata ya Mtombozi, Wilaya ya Morogoro, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake Simon Gervas (8) kwa kumkata sehemu mbalimbali za mwili wake kwa panga. Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, SACP Alex Mkama akizungumza ofisini kwake leo Jumatano Desemba 11, 2024, amesema tukio…

Read More

CCM HAKUNA KUPOA: WITO WA MONGELLA KWA VIONGOZI WA MANYARA

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, John Mongella, amewahimiza viongozi wa chama mkoani Manyara kuongeza juhudi katika kuimarisha CCM kupitia mshikamano, uwajibikaji, na utatuzi wa changamoto za wananchi. Akiwahutubia sekretarieti za wilaya na kata, Mongella alisisitiza kuwa ushindi wa chama hautakiwi kuwa sababu ya kupumzika, bali ni fursa ya kuendelea kushirikiana…

Read More

Straika Azam fc ataja mavitu ya Mwihambi

MSHAMBULIAJI wa Azam, Nassor Saadun ameshindwa kujizuia na kumtaja beki wa Tanzania Prisons, Vedastus Mwihambi ni ‘mtu kazi’ kati ya mabeki aliokumbana nao katika mechi za Ligi Kuu Bara hadi sasa, huku akimvulia kofia pia beki anayecheza naye timu moja, Yoro Mamadou Diaby raia wa Mali. Saadun aliyefunga mabao manne hadi sasa, aliliambia Mwanaspoti Mwihambi…

Read More

UEFA Champion League kukupa mkwanja leo

LIGI ya Mabingwa barani Ulaya itaendelea leo na michezo mbalimbali itakwenda kupigwa ambapo itatoa fursa ya wewe kupiga mkwanja wa kutosha kupitia kampuni bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbet. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya ni michezo mikali ambayo itakutanisha miamba ya soka barani ulaya ambayo inakwenda kucheza michezo yao ya raundi…

Read More

Mollel ainusa Dubai, Lina Tour zamu ya Dar

MCHEZA gofu ya kulipwa kutoka Arusha, Nuru Mollel ana asilimia kubwa ya kwenda Dubai endapo ataibuka mshindi wa jumla kwenye michuano ya Lina PG Tour, inayotarajiwa kuanza wiki ijayo, jijini Dar es Salaam. Michuano hiyo inatarajiwa kupigwa kwenye viwanja vya Dar es Salaam Gymkhana kuanzia Desemba 19 hadi 22 mwaka huu. Road to Dubai ndiyo…

Read More