Iran yazishutumu Israel, Marekani kwa anguko la Assad – DW – 11.12.2024

Ayatullah Khamenei, ambaye ndiye mwenye nguvu kubwa kisiasa nchini Iran, alisema siku ya Jumatano (Disemba 11) kwamba nchi yake ina ushahidi unaothibitisha kwamba kupinduliwa kwa Rais Assad wa Syria ulikuwa mpango wa Israel, Marekani na jirani mmoja wa Syria, ambaye hakumtaja.  Wachambuzi wanasema nchi hiyo huenda ikawa ni Uturuki, ambayo imekuwa ikipambana na wale inaowaita magaidi…

Read More

Je! Idadi ya Wahindu wa Bangladesh inashambuliwa kwa Kiwango Gani? – Masuala ya Ulimwenguni

Idadi kubwa ya Wahindu wa Bangladeshi waliandamana kutaka kutambuliwa na kulindwa huku vurugu zikiongezeka nchini Bangladesh mnamo Julai 2024. na Mwandishi wa IPS (umoja wa mataifa) Jumatano, Desemba 11, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Des 11 (IPS) – Bangladesh imekuwa katikati ya mzozo wa kisiasa unaozidi kuongezeka na mgawanyiko mkubwa wa kijamii tangu…

Read More

Mambo 10 kukabili utekaji Tanzania haya hapa

Moshi.  Wanasheria mbalimbali wakiwamo mawakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, wamependekeza mambo 10 ambayo kama yakifanyika, vitendo vya utekaji nyara, kupoteza watu, kutesa na mauaji vinaweza kutoweka nchini. Moja ya mapendekezo hayo ni pamoja na kutekelezwa kwa vitendo na siyo kutolewa kwa kauli za kisiasa, kwa mapendekezo yote ya Tume ya Haki Jinai iliyoundwa na Rais…

Read More

Hatua tano za kukamilisha Dira ya Taifa ya Maendeleo

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametangaza hatua muhimu zinazofuata katika mchakato wa kukamilisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 baada ya uzinduzi wa Rasimu ya Kwanza ya Dira hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Uzinduzi huo unafanyika Zanzibar tarehe 11 Desemba 2024, ukiongozwa na Rais wa…

Read More

Wanafunzi Mkinga walia na uhaba, uchakavu wa madarasa

Mkinga. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mazolakilifi, iliyopo Kijiji cha Mazola wilayani Mkinga mkoani Tanga, wameomba msaada wa kuboreshewa vyumba vya madarasa yao ambavyo vipo katika hali mbaya, yakiwa yamejaa nyufa na kuhatarisha usalama wao. Wakizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya matundu kumi ya vyoo yaliyojengwa na Shirika lisilo la Serikali la World Vision…

Read More