Wanawake wametoa maoni kiasi kikubwa – Saada Mkuya
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais- Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Saada Mkuya Salum amesema idadi kubwa ya wanawake wa visiwani Zanzibar walijitokeza kutoa maoni ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ikilinganishwa na makundi mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Dk. Mkuya ameeleza hayo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa…