
Yanga yauaga 2024 kibabe, ikiifumua Fountain 5-0
YANGA ni kama imejibu mapigo kwa watani wao wa Simba, baada ya jioni hii kupata ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Fountain Gate ambayo mara baada ya mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam ilitangaza kulivunja benchi lote la ufundi chini ya kocha Mohammed Muya. Ushindi huo wa…