Adaiwa kusombwa na maji alipokuwa akivuka mto

Shinyanga. Mkazi wa Mtaa Dome Kata ya Ndembezi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga mkoani humo, Leah George (40) anadaiwa kusombwa na maji alipokuwa akivuka mto baada ya mvua kunyesha. Tukio hilo limetokea jana Desemba 09, 2024 muda wa saa 12 jioni katika daraja la mto Mumbu baada ya mvua kubwa na kusababisha maji kujaa. Akithibitisha…

Read More

Jaji Mkuu azungumzia mabilioni ya fedha za mirathi mahakamani

Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma amesema mashauri ya mirathi yanagusa uchumi mkubwa, akibainisha kuwa katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia Temeke pekee, katika kipindi cha miaka mitatu, kimeshughulikia mashauri ya mirathi yenye thamani ya Sh101.8 bilioni. Hivyo, amewataka watumishi wa ngazi zote wa kuzingatia dhana ya…

Read More

Tanzania yaandika historia: Wanafunzi wa Arusha Science wapata ushindi wa kimataifa

  TANZANIA imeandika historia kubwa baada ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Arusha Science kushinda tuzo nne za heshima katika mashindano ya kimataifa ya Ufanisi kwa Vijana (Junior Achievement) yaliyofanyika nchini Mauritius, yakihusisha mataifa 11 kutoka barani Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Port Louis, Mauritius … (endelea). Wanafunzi hao wa Kidato cha Sita, kupitia kampuni yao…

Read More

AKU, ADEM kuimarisha uongozi katika sekta ya elimu

Dar es Salaam. Tanzania inahitaji viongozi waliobobea, wasimamizi na maofisa wa kuthibiti ubora wa shule ili kuhakikisha matumizi sahihi ya rasilimali chache zilizopo na utoaji wa elimu bora kama inavyotarajiwa, wadau wameeleza. Kauli hiyo inakuja wakati ambapo sekta ya elimu nchini inakabiliwa na mageuzi makubwa, ikiwemo kuanza kutumika kwa mtalaa mpya, mabadiliko ya sera ya…

Read More

Tuendelee kutumia teknolojia katika uhifadhi – Dk. Abbasi

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi ameelekeza kuendelea kwa matumizi ya teknolojia mbalimbali katika ulinzi wa rasilimali ya wanyamapori. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Dk. Abbasi ameyasema hayo leo tarehe 10 Desemba, 2024, katika kikao na watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) kilichofanyika katika Makao Makuu…

Read More

TWCC YAMPA MAUA YAKE MWANACHAMA WAO KUPATA NEMBO YA TBS

  Na; Hughes Dugilo, DAR ES SALAAM Chemba ya wafanyabiashara wanawake Tanzania (TWCC) imeishukiru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na kuwawezesha kuuza bidhaa zao ndani na nje ya nchi. Pongezi hizo zimetolewa Jijini Dar es Salaam, na Mwenyekiti wa TWCC…

Read More

Bashungwa apokelewa wizara ya Mambo ya Ndani Zanzibar

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent L. Bashungwa (Mb) amewasili na kupokelewa katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi mara baada ya kuapishwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 10 Desemba, 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Mapokezi hayo yamefanyika katika Ofisi za…

Read More