Songwe waonywa kumaliza kindugu kesi za ukatili

Ileje. Wazazi na walezi mkoani Songwe wameonywa kumalizana kindugu juu ya Kesi za ukatili wa kijinsia kwa watoto, ili wahusika wanaotekeleza vitendo hivyo wachukuliwe hatua za kali za kisheria. Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa kitengo cha dawati la jinsia kutoka Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Eletisia Mtweve, katika…

Read More

Dk. Dimwa amfariki Mwenyekiti wa CCM Kusini Unguja

  NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Mohamed Said Dimwa, amemtembelea na kumjulia hali yake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja, Mwaka Mrisho Abdalla, anayeumwa kwa muda mrefu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Dk. Dimwa, alikwenda nyumbani kwake kijijini Ubago Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa lengo…

Read More

TPC: Tunawezesha miundombinu ya kisasa kwa maendeleo ya elimu

Na Safina Sarwatt, Moshi Zaidi ya wanafunzi 1,000 kutoka familia zenye mazingira duni wamefaidika na mpango wa ufadhili wa masomo ulioanzishwa na Kiwanda cha Sukari TPC Moshi kupitia taasisi yake ya Foundation for Community Transformation in Kilimanjaro (FTK). Mpango huu, ulioanza mwaka 2012, umewezesha wanafunzi wa maeneo yanayozunguka kiwanda hicho kuendelea na masomo yao ya…

Read More

Benchikha ataja makosa matatu ya kufanana Simba, Yanga

KOCHA wa zamani wa Simba, Abelhak Benchikha ametaja makosa matatu ambayo Simba na Yanga zinapaswa kuyafanyia kazi kwa haraka kama wanataka kutoboa kimataifa. “Kosa la kwanza; Zinapoteza mpira kirahisi na unapocheza na timu kubwa huo ni mtaji mkubwa kwa wapinzani, kwani wao huwa wanatumia kila kosa kama fursa. La pili:”Safu zao za ulinzi nazo zilifanya…

Read More