Ugumu utetezi wa haki za binadamu wabainishwa

Dar/Dodoma. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya haki za binadamu, imeelezwa kuwa watetezi wa haki za binadamu wanapitia mazingira magumu kutokana na sheria kandamizi, udhaifu wa mfumo wa haki na udhibitiwa kwa vyombo vya habari. Hayo yameelezwa leo Desemba 10, 2024 katika kongamano la haki za binadamu lililoandaliwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania…

Read More

EWURA YAWAONYA WAUZAJI MAFUTA KIHOLELA

MENEJA EWURA Kanda ya Magharibi Mhandisi Walter Christopher,akizungumza wakati wa mafunzo kwa wadau wa mafuta Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma yenye lengo la kuwejengea uwezo wa masuala ya kiudhibiti wadau wa sekta ndogo ya petroli kutoka mkoa wa Kigoma ukijumuisha washiriki kutoka wilaya zote sita za Kigoma, Kasulu, Kibondo, Kakonko, Buhigwe na Uvinza yaliyofanyika leo Disemba…

Read More

Matampi afichua kilichomwondoa Coastal | Mwanaspoti

SAA chache baada ya uongozi wa Coastal Union kutangaza kumalizana na kipa wake Ley Matampi, Mkongomani huyo ameibuka na kutaja sababu za kuachana na kikosi hicho. Matampi ambaye ndiye kipa bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita akimpindua Djigui Diarra wa Yanga aliyebeba tuzo hiyo misimu miwili mfululizo, amesema jambo lililofanya kufikia uamuzi wa kuvunja…

Read More

JKT TZ yavimbia rekodi nyumbani

MAAFANDE wa JKT Tanzania wataikaribisha Pamba Jiji leo kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, huku wakijivunia rekodi waliyonayo  ya ushindi kwa asilimia kubwa wakiwa nyumbani. JKT Tanzania ndiyo timu pekee msimu huu ambayo haijapoteza mchezo wowote wa ushindani ikiwa nyumbani, imeshinda nne moja ikiwa ya Kombe la FA na…

Read More

Dk Mwigulu azungumzia wizi katika benki

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametaja maeneo yanayotumiwa vibaya na baadhi ya watumishi na wateja kuiba fedha benki, jambo linaloathiri sekta ya fedha. Miongoni mwa maeneo hayo ni uuzaji wa dhamana za wateja kwa tamaa kwa kuwawekea masharti magumu ya kumalizia kiwango cha mkopo kilichosalia, na utoaji wa mikopo ambayo haina…

Read More

Mohammed al-Bashir kiongozi wa mpito Syria – DW – 10.12.2024

Hatua hiyo inatekelezwa katika kipindi ambacho serikali ya Israel ikikanusha  wanajeshi wake kufanya mashambulizi katika eneo lisilokuwa na shughuli za kivita la Syria. Uamuzi wa Bashir unafuatia kuondolewa madarakani kwa rais Bashar al-Assad. Awali Jumatatu, vyombo vya habari vya mataifa ya Kiarabu viliripoti kwamba al-Bashir alikuwa amepewa jukumu la kuunda serikali mpya ya Syria baada…

Read More

Ugonjwa usiojulikana waikumba DRC, WHO yaanza uchunguzi

Congo DRC. Ugonjwa usiojulikana umeikumba nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) huku ukisababisha watu zaidi ya 30 kupoteza maisha hasa watoto walio chini ya miaka mitano. Shirika la Afya Duniani (WHO) limetuma wataalamu wake nchini humo kusaidia kuchunguza ugonjwa huo mpya usioeleweka ambao una dalili za homa, maumivu ya kichwa, kikohozi, mafua na…

Read More

Mahakama yaruhusu Mkurugenzi wa Jatu, kuhojiwa Takukuru

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashitaka mawili, kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Gasaya anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka katika Saccos ya Jatu kwa madai kuwa fedha hizo atazipanda kwenye…

Read More

Israel yawafungulia mashtaka ya ugaidi Wapalestina watatu – DW – 09.12.2024

Wapalestina hao ni wanachama wa Hamas kutoka Gaza, wanaoshutumiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na waliofanya mashambulizi nchini Israel dhidi ya raia na vikosi vya usalama. Maafisa wa Israelwamesema uchunguzi umekamilika na ofisi ya mwendesha mashtaka wa kijeshi iliwasilisha Jumatatu mashtaka dhidi ya raia hao wa Palestina. “Tuko makini na nia yetu ya kufikia makubaliano”…

Read More