MATUMIZI YA SIMU KAZINI YATAJWA KUATHIRI UFANISI WA WAFANYAKAZI

 Matumizi yasiyo sahihi ya simu mahali pa kazi yameelezwa kuwa changamoto kubwa inayoathiri ufanisi wa wafanyakazi.  Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) Taifa, Joel Kaminyonge, amesema matumizi haya yanapunguza uwajibikaji na kuzorotesha utendaji wa taasisi. Akizungumza leo, Desemba 10, 2024, wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara ya Uhamiaji…

Read More

Mama mkwe adaiwa kuuawa akisuluhisha ndoa ya bintiye

Tabora. Mkazi wa mkoani hapa, Zainab Abas amefariki dunia baada ya kudaiwa kuchomwa kisu na mkwe wake, Shaban Juma. Tukio hilo limetokea katika Mtaa wa Mlenda kata ya Ipuli Manispaa ya Tabora wakati akijaribu kusuluhisha mgogoro wa kifamilia baina ya mtoto wake na mkwewe. Tukio hilo lilitokea Desemba 5, 2024, wakati Aisha Ramadhan ‘Batuli’ mkewe…

Read More

Profesa Sedoyeka: Madarasa mtandao yatatupeleka kimataifa

Arusha. Chuo cha Uhasibu Arusha (IIA), kimepanga kuanza kutumia madarasa mtandao, ili kuwezesha kutoa elimu kwa kundi kubwa la wanafunzi ndani na nje ya nchi na kukifanya kwenda na mabadiliko ya teknolojia kwenye ufundishaji. Madarasa hayo ya yanayotumia vifaa vya kisasa vya Tehama yatamwezesha mwalimu atakayekuwa darasani kwenye kampasi zake za Arusha, Dar es Salaam,…

Read More

Huyu ndiyo Profesa Janabi usiyemjua

Dar es Salaam. Wakati Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akitaja jina la Profesa Mohamed Janabi kama pendekezo la nchi na ajiandae kugombea nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile, Mwananchi imekusogezea wasifu wake. Akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali leo Jumanne, Desemba 10, 2024 kwenye…

Read More

Huu ndiyo Profesa Janabi usiyemjua

Dar es Salaam. Wakati Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akitaja jina la Profesa Mohamed Janabi kama pendekezo la nchi na ajiandae kugombea nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile, Mwananchi imekusogezea wasifu wake. Akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali leo Jumanne, Desemba 10, 2024 kwenye…

Read More

Waomba huduma ya msaada wa kisheria bure iwe endelevu

Musoma. Wakazi wa Manispaa ya Musoma mkoani Mara wameiomba Serikali kuweka utaratibu maalumu utakaowezesha wananchi kupata huduma za kisheria wakati wote, hasa kwa wale wenye kipato cha chini. Maombi ya wananchi hao  yamekuja siku moja kabla ya kuanza kwa utoaji huduma za msaada wa kisheria kupitia kampeni maalumu ya ‘Mama Samia legal aid’ unaotarajiwa kuanza…

Read More