Mbowe avunja ukimya kuhusu uenyekiti wake

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya kuhusu nafasi yake hiyo, akisema wanachama na viongozi wa chama hicho ndiyo watakaoamua agombee au asigombee tena. Akibainisha kuwa muda ndiyo utakaoamua. Mbowe ameeleza hayo leo Jumanne Desemba 10, 2024 wakati akisoma maazimio 10 ya Kamati Kuu ya chama hicho…

Read More

Mambo 5 muhimu ya kujua – Masuala ya Ulimwenguni

Kaulimbiu ya Siku ya Haki za Binadamu 2024, “Haki zetu, mustakabali wetu, sasa hivi”, inaangazia kuendelea kwa umuhimu wa haki za binadamu katika kushughulikia changamoto za kimataifa. Mwaka huu, Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (OHCHR) inalenga kufahamisha na kubadilisha mitazamo kuhusu haki za binadamu huku ikihamasisha hatua. Hapa kuna mambo matano…

Read More

Wazazi washauriwa kuwalinda watoto – Mtanzania

Na Malima Lubasha, Serengeti WAZAZI na Walezi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Mapinduzi, Kata ya Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara,wametakiwa kuwalinda watoto wao na kuacha kuwapa kazi ya kufanya biashara wakati wenzao wanaendelea na masomo. Ushauri huo umetolewa na Polisi Kata ya Mugumu, Mkaguzi Msaidisi wa Polisi, Pius Kahabi wakati alipozungumza na wazazi,walezi na…

Read More

Ukatili wa kijinsia wapungua Mara

Na Malima Lubasha, Tarime WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dk.Doroth Gwajima amesema Mkoa wa Mara umeendelea kupiga hatua katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia ukiwemo ukeketaji ambao umeshuka hadi asilimia 28 kutoka nafasi ya kwanza kama ulivyokuwa hapo awali. Dk.Gwajima ameitaja mikoa ya Arusha na Manyara kuwa ndiyo…

Read More

Wabunge watatu wa ajali ya Dodoma wahamishiwa MOI

Dar es Salaam. Wabunge watatu majeruhi wa ajali ya basi la Kampuni ya Shabiby waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, wamehamishiwa katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili-MOI kwa matibabu zaidi. Desemba 6 mwaka huu, wabunge 16, maofisa wawili wa Bunge na dereva wa basi hilo walijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Mbande, wilayani…

Read More

Radi yaua ng’ombe 22 Sumbawanga

Sumbawanga. Mvua zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara ambapo ng’ombe 22 wamekufa baada ya kupigwa na radi. Tukio hilo lilitokea jana Desemba 9, 2024  katika Kijiji cha Songambele Azimio, Kata ya Msanda Muungano wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Jumanne, Desemba 10, 2024, Katibu Tawala wa wilayani hiyo, Gabriel Masinga…

Read More

Wadau wataka mabadiliko chanya kumuenzi Makweta

Njombe. Ili kumuenzi hayati Jackson Makweta, jamii mkoani hapa imetakiwa kutumia elimu, teknolojia na kukubali mabadiliko ya matumizi ya mifumo ya fedha ili kuleta matokeo chanya nchini. Hayo yalibainishwa jana Desemba 9, 2024 wakati wa kumbukizi ya mwanazuoni, Jackson Makweta katika miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara, iliyofanyika mkoani hapa kwa kushirikisha wadau mbalimbali….

Read More