Kwa Jamii ya Kibinadamu, Kupuuza Dharura ya Hali ya Hewa Sio Chaguo Tena' — Masuala ya Ulimwenguni

Khumbu Glacier kwenye kambi ya msingi ya Mt. Everest. Kwa sababu ya halijoto inayoongezeka, barafu inayeyuka kwa kasi zaidi. Mkopo: Tanka Dhakal/IPS na Tanka Dhakal (hague) Jumanne, Desemba 10, 2024 Inter Press Service THE HAGUE, Desemba 10 (IPS) – Kama maisha na riziki zitalindwa, kama tunataka kuepuka maafa makubwa, hakuna wakati wa kupoteza. Kama ambavyo…

Read More

RC Kunenge Aridhishwa na Jitihada Nishati Safi Mkoani Pwani, Aipongeza Taifa Gas

  MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameonyesha kuridhishwa na jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali mkoani humo ikiwemo kampuni ya Taifa Gas katika kufanikisha kampeni ya mabadiliko kuelekea matumizi ya nishati safi ya kupikia miongoni mwa makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo taasisi za elimu na wafanyabiashara wa vyakula. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea)….

Read More

RC Kunenge Aridhishwa na Jitihada Nishati Safi Mkoani Pwani, Aipongeza Taifa Gas.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bw Abubakar Kunenge, ameonyesha kuridhishwa na jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali mkoani humo ikiwemo kampuni ya Taifa Gas katika kufanikisha kampeni ya mabadiliko kuelekea matumizi ya nishati safi ya kupikia miongoni mwa makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo taasisi za elimu na wafanyabiashara wa vyakula. Akizungumza wakati wa kikao cha Kamati…

Read More

Uwekezaji sekta ya nishati Tanzania kunufaisha nchi wanachama EAPP – Mhe.Kapinga

Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judidhi Kapinga amesema uwekezaji uliofanyika kwenye Sekta ya nishati nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu itazinufaisha Nchi Wanachama wa Umoja wa Mashariki mwa Afrika (EAPP) katika biashara ya kuuziana na kununua umeme. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Desemba 09, 2024 Mombasa nchini Kenya katika mkutano uliowakutanisha nchi wanachama wa EAPP…

Read More

Coastal yaachana na Ley Matampi

UONGOZI wa Coastal Union, umetangaza kuachana na kipa wake, Ley Matampi baada ya kufikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba huku mwenyewe akisema kwamba ni uamuzi sahihi. Matampi ambaye alibeba Tuzo ya Kipa Bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita 2023-2024, alijiunga na timu hiyo Agosti 2023 akitokea Jeunesse Sportive Groupe Bazano ya nchini kwao…

Read More

PROF. MKENDA AENDELEA KUPAMBANIA WANANCHI ROMBO.

NA WILLIUM PAUL, ROMBO. MBUNGE wa Jimbo la Rombo mkoani Kilimanjaro, Prof. Adolf Mkenda ameendelea kuhakikisha tatizo la upatikanaji wa maji safi kwa wananchi wa Jimbo hilo linageuka kuwa historia ambapo amekabidhi rola tano za bomba kwa kuboresha miundombinu ya maji kata ya Motamburu kitendeni. Akikabidhi mabomba hayo, Prof. Mkenda ambaye pia ni Waziri wa…

Read More

Fadlu: Mpanzu atapindua meza kibabe

IMEBAKIA muda mchache tu kabla ya mashabiki na wanachama wa Simba kumuona staa wao Mkongomani, Elie Mpanzu uwanjani lakini Kocha Fadlu Davids ameweka wazi jinsi atakavyopindua mezani kwenye kikosi cha kwanza. Ikumbukwe dirisha dogo la usajili litafunguliwa Desemba 15 na kufungwa Januari 15 muda ambao bado Simba itakuwa ikipambana kwa udi na uvumba kwenye Ligi…

Read More