Pacha wa Kagoma atua Yanga

KUNA kitu kinaendelea chini kwa chini pale Yanga na lolote linaweza kutokea kwenye dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Desemba 15. Yanga imepania kufanya mabadiliko kadhaa kwenye safu yake ya uchezaji na mmoja kati ya watakaoingia kuwa mbadala wa Khalid Aucho huenda akawa sapraizi kwa wengi. Yanga inaendelea na mazungumzo na Singida Black Stars kuangalia uwezekano…

Read More

Bares anataka Top Four Bara

KOCHA wa Mashujaa, Mohamed Abdallah ‘Bares’, ameweka wazi malengo yake kwa timu hiyo ya Ligi Kuu Bara, akisema anataka kumaliza msimu huu 2024/25 katika nafasi nne za juu. Kwa sasa, Mashujaa wanashika nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na pointi 17 baada ya kushinda mechi nne, sare tano, na kupoteza tatu. Katika msimu…

Read More

Idadi ya wanadamu ya migogoro isiyo na maana 'haihesabiki', inasema Türk — Global Issues

Wakati ulimwengu unajiandaa kuweka alama Siku ya Haki za Binadamu 2024Bw. Türk alitafakari kuhusu “wakati ambapo haki za binadamu hazivunjwa tu, bali pia inazidi kutumika.” Aliangazia masuala matatu muhimu kwa jumuiya ya kimataifa: kuenea kwa migogoro ya silaha, kuongezeka kwa taarifa potofu, na kupuuza usalama wa muda mrefu. Kuenea kwa migogoro ya silaha Bw. Türk…

Read More

Hii ndiyo sababu Wachaga kupenda biashara, fedha

Moshi. Ni maneno ya kawaida kwa walio wengi kuwa Wachaga wanapenda biashara na hata wengine wakaenda mbali zaidi na kusema watu wa kabila hilo maarufu nchini, wanapenda pesa. Jambo hili limepata umaarufu mkubwa zaidi kutokana na watu wa kabila hilo kutapakaa maeneo mbalimbali nchini na kuanzisha biashara ambazo zimewapa umaarufu katika maeneo hayo. Hilo linadhihirishwa…

Read More

Kiswahili chazidi kuula nchini China

Dar es Salaam. Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian amesema urafiki wa muda mrefu uliopo kati ya China na Tanzania, umekuwa fursa ya lugha ya Kiswahili kupendwa na kuzidi kukua nchini mwake. Hatua hiyo alisema imesababisha vyuo sita nchini humo kuanzisha vitivyo maalumu vya kufundisha Kiswahili. Balozi Mingjian aliyasema hayo hivi karibuni kwenye hafla…

Read More

Kilio cha wastani shuleni mwisho wa mwaka

Katika miaka ya hivi karibuni, uendeshaji wa shule binafsi nchii umeibua mjadala kuhusu utaratibu wa kuweka wastani wa juu wa ufaulu kama sharti la kuwapokea wanafunzi wapya au kuwaendeleza wale waliopo. Wamiliki wa shule binafsi wanatetea hatua hii kwa kudai kuwa inalenga kuongeza ubora wa elimu, lakini kwa upande mwingine utaratibu huo umeibua maswali kuhusu…

Read More

WAZIRI GWAJIMA:WAZAZI NA WALEZI ACHENI MILA YA UKEKETAJI

Na WMJJWM, Mara Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa jamii kuacha mila za ukeketaji badala yake kuwapa watoto wa kike maisha yenye heshima, usalama, na ustawi wa afya. Dkt. Gwajima amezungumza hayo katika kilele cha maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia…

Read More

Tuondoe changamoto hizi katika lugha ya Kiswahili

Jambo au kitu chochote kinachopiga hatua moja kwenda nyingine, ambapo hatua inayopigwa inakuwa bora zaidi kuliko ile ya awali, aghalabu jambo au kitu hiko hakikosi changamoto. Muda mwingine changamoto hizo ni moja ya viashiria muhimu kudhihirisha ukuaji na ustawi wa kitu husika. Tukijiegemeza katika muktadha wa lugha ya Kiswahili, hadi kufikia hapa ilipo leo, ama…

Read More

Millen Magese amkabidhi aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024 Tsh mil 3

MWANAMITINDO wa Kimataifa Millen Happiness Magese amekabidhi kitita cha Sh.milioni tatu kwa Mwanamitindo Elizabeth Masuka aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024. Millen Happiness Magese aliyekuwa Jaji Mkuu wa Samia Fashion Festival Zanzibar alikabidhi hundi ya fedha yenye thamani ya Sh.milioni tatu katika Hoteli ya Urban by City Blue iliyopo Jijini Dar es…

Read More

Ruvuma Toyota Festive 2025 kukutanisha magari zaidi ya 5000

Zaidi ya magari 5,000 aina ya Toyota yatashiriki kwenye Tamasha kubwa la Utalii mkoani Ruvuma (Ruvuma Toyota Festive) litakalofanyika tarehe 25 Juni 2025. Aidha Tamasha hili linatarajia kuwakutanisha watu kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini na nje ya Nchi. Maandamano ya Magari aina ya Toyota yataanzia katika Manispaa ya Songea na kumalizika katika mji mdogo wa…

Read More