Hasnath: Kiarabu noma, ila tunaelewana

WINGA wa FC Masar inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Hasnath Ubamba amesema lugha ya Kiarabu ambayo ndio inatumika nchini humo ikiwamo mazoezini ni ngumu lakini anapata msaada kutoka kwa nyota wenzake wa Afrika Mashariki. Nyota huyo ni msimu wake wa kwanza kucheza ligi hiyo akitokea Fountain Gate Princess ya Tanzania kwa mkopo wa mwaka…

Read More

Netanyahu kufanyiwa upasuaji wa tezi dume leo

Israel. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa kuondolewa tezi dume hii leo Jumapili. Upasuaji huo unafuatia kugunduliwa kuwa na ugonjwa huo, ofisi yake imetoa taarifa hiyo leo Desemba 29, 2024.  Kwa mujibu wa mtandao wa Times of Israel Jumatano iliyopita, Netanyahu, mwenye umri wa miaka 75, alifanyiwa uchunguzi katika Hospitali ya Hadassah…

Read More

Mastaa hawa wako na familia

IKIWA imesalia siku moja kuuaga mwaka 2024 na kuukaribisha 2025, baadhi ya mastaa wa Tanzania wanaocheza nje ya nchi wako nchini kula likizo za sikukuu. Baadhi ya wachezaji ligi zao zimemalizika na wengine zikiwa zinaendelea wakipewa likizo ya muda kusalimia familia zao. Nyota hao ni pamoja na Kelvin John mshambuliaji wa Aalborg FC ya Denmark,…

Read More

Maisha duni familia ya pacha waliotenganishwa – 3

Dar es Salaam. Wakati Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi akiwaomba Watanzania wenye uwezo kumjengea nyumba Tabora, Hadija Shaban (24), mama wa pacha waliotenganishwa kutokana na hali yake duni ya maisha, Mwananchi imejionea hali halisi. Hadija alirejea nchini Novemba, 2024 baada ya watoto wake Hussein na Hassan Amir, wenye miaka mitatu…

Read More

Walalama mahindi yao kufyekwa, Serikali yajibu

Katavi. Wakati wakulima katika Kijiji cha Kagunga Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi wakilia kufyekwa kwa mazao yao shambani, Serikali wilayani humo imefafanua tukio hilo, huku ikitoa tahadhari na maelekezo kwa wananchi. Desemba 27 wakulima katika Kijiji hicho walijikuta katika taharuki kufuatia watu wasiojulikana kuvamia mashamba yao yenye ukubwa wa ekari 60 na kufyeka mahindi. Akizungumzia…

Read More

Kwa Katwila ni maeneo mawili tu

WAKATI klabu zikiendelea kuvuta silaha mpya kwa ajili ya kujiboresha, kocha wa Bigman, Zubery Katwila amesema hatokuwa na haraka katika kuwaingiza wachezaji wapya, licha ya kuhitaji kuboresha zaidi maeneo ya kiungo na mshambuliaji wa kati. Akizungumza na Mwanaspoti, Katwila alisema tayari ripoti yake ameshaiwasilisha kwa viongozi na wanaendelea kuifanyia kazi, huku akilenga maeneo hayo kutokana…

Read More