Dk. Mwigulu aongoza mamia kuaga mwili wa mtumishi wa TRA
WAZIRI wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kuacha kushabikia vitendo vya uharifu na kuepuka kujichukulia Sheria mkononi kwani sio jambo nzuri. Anaripoti Mwandish Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Dk Nchemba ametoa kauli hiyo Jijini Dar es salaam mapema leo Desemba 8, 2025 wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mtumishi wa Mamlaka ya…