Mashishanga awataka viongozi wajifunze aliyotenda Nyerere

Morogoro. Mkuu wa mkoa mstaafu wa Morogoro, Stephen Mashishanga amewataka viongozi wa sasa kujifunza kutoka kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere hasa katika kuhakikisha nchi inakuwa na uhuru kamili na amani itakayofanya uchumi kukua. Akizungumza katika kongamano la maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika lillilofanyika leo Jumatatu, Desemba 9, 2024 mjini Morogoro,…

Read More

WANANCHI WASHAURIWA KUSHIRIKI MAENDELEO YA NCHI KUIMARISHA DEMOKRASIA

Na. Faraja Mbise, DODOMA Wananchi wameshauriwa kushiriki katika kila hatua ya maendeleo ya nchi ili kuimarisha demokrasia kwasababu wanaposhiriki katika maendeleo wanapata fursa ya kuibua changamoto na fursa zilizopo sambamba na kueleza mawazo yao na kutoa mapendekezo. Hayo, yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri alipokuwa akizungumza na wadau mbalimbali wa maendeleo…

Read More

Wito wa amani, uwajibikaji na usafi vyatawala maadhimisho ya uhuru mikoani

Mikoani. Sherehe za maadhimisho ya uhuru zimefanyika kwa njia tofauti katika mikoa mbalimbali nchini ambapo wananchi na viongozi wameshiriki kufanya usafi huku wito wa amani ukitolewa kwa Watanzania wote. Maadhimisho hayo yamefanyika kwa njia hizo kufuatia uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuahirisha sherehe hizo kwa mwaka huu, huku akielekeza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili…

Read More

RUVUMA TOYOTA FESTIVAL KUFANYIKA JUNI 2025

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mheshimiwa Peres Magiri, amebainisha kuwa mwitikio wa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na maeneo mengine ya nchi bado ni mdogo katika kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo mkoani Ruvuma. Amebainisha hayo wakati akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed katika hafla ya Toyota Networking Cocktail iliyofanyika katika ukumbi…

Read More