UJENZI WA MAJENGO MAPYA IMS ZANZIBAR WAFIKIA ASILIMIA 50

NA EMMANUEL MBATILO, ZANZIBAR UJENZI wa majengo ya mabweni na jengo la utawala katika Taasisi ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), iliyopo Buyu visiwani Zanzibar umefikia asilimia 50 kukamilika. Ukiwa unatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Agosti 2025 na kuanza kutumika, ujenzi huo ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa…

Read More

Je, kuna mpasuko ndani ya Chadema? – DW – 09.12.2024

Wadhfa huo umekuwa ukishikiliwa na mwenyekiti wa sasa Freeman Aikael Mbowe kutoka mwaka 1995 huku taarifa hizo za baadhi ya wanachama kutaka kurithi mikoba ya Mbowe, zikitafisiriwa kama mpasuko ndani ya chama hicho na baadhi ya vyombo vya habari nchini humo na baadhi ya mijadala kwenye mitandao ya kijamii. Tundu Lissu Makamu mwenyekiti wa Chama…

Read More

Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amekutana na wana-jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini Uingereza

  Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amekutana na wana-jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini Uingereza (Diaspora) katika mji  wa London baada ya kuwasili Disemba 08, 2024 na kujadiliana mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya afya nchini Tanzania.  Miongoni mwa mambo waliyojadiliana katika kikao hicho ni pamoja na dhana ya umuhimu wa Bima ya Afya kwa Wote,…

Read More

TIMU ZA TANZANIA ZANG’ARA MASHINDANO YA MABUNGE YA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YANAYOENDELEA MOMBASA NCHINI KENYA

Wachezaji wa Timu ya Bunge ya Kamba Wanaume wakivuta kamba dhidi ya wapinzani wao Timu ya Kenya katika mashindano ya Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayoendelea Jijini Mombasa Nchini Kenya.Timu ya Bunge la Tanzania iliibuka kidedea katika mchezo huo. …… Mheshimiwa Anatropia Theonest ameibuka kinara wa mchezo wa riadha kwa wanawake…

Read More

TUME YA MADINI YASEMA “BARRICK NA TWIGA MKO VIZURI UTEKELEZAJI WA SERA YA MAUDHUI YA NDANI (LOCAL CONTENT)”

Mwenyekiti wa Tume ya Madini nchini, Bi Janet Lekashingo akizungumza na wafanyakazi na mameneja wa Mgodi wa Bulyanhulu wakati wa semina ya mafunzo ya siku moja kuhusu utekelezaji wa maudhui ya ndani (Local Content) na Uwajibikaji wa Jamii wajibu (CSR) iliyofanyika katika mgodi wa Bulyanhulu Meneja Mkuu wa Barrick Bulyanhulu, Bw Victor Lule akieleza jambo…

Read More

Viongozi Manispaa ya Songea wabebeshwa zigo la taka

Songea. Viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma, wameelekezwa kuhakikisha wanatoa kipaumbele kwa kuondoa uchafu unaotoa harufu mbaya kwenye mitaro ya mabucha ndani ya soko kuu kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa eneo hilo. Agizo hilo limetolewa leo Jumatatu, Desemba 9, 2024 na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mary Makondo ambaye pia ni…

Read More

TPA YAENDELEA KWA KASI YA MABORESHO YA TSHARI ILIYOZAMA MAFIA

Mwamvua Mwinyi, Mafia Desemba 9, 2024 KAMPUNI ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaendelea na maboresho ya miundombinu katika kisiwa cha Mafia, ikiwemo kurekebisha tshari iliyozama Septemba mwaka huu, ili kurejesha huduma muhimu za usafiri wa majini. Sambamba na hilo, TPA kwa kushirikiana na wataalamu, inaendelea kutafuta eneo sahihi kwa ajili ya ujenzi wa bandari…

Read More

Simbu akwama Kawata Mlugu akishinda, Nyambui kesho

Wakati mwanariadha Alphonce Simbu akikwaa kisiki  kwenye uchaguzi wa Kamisheni ya Wachezaji (Kawat), Judoka Andrew Thomas Mlugu ametawazwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kamisheni hiyo. Mlugu amepata kura 38 za ndiyo, sita za hapana na kura tatu ziliharibika. Nafasi hiyo ilikuwa ikiwania pia na Simbu ambaye alienguliwa kwenye usaili saa chache kabla ya uchaguzi na muogeleaji…

Read More